Mwanamke wangu anamiguu iliyokonda

Mwanamke wangu anamiguu iliyokonda

Habarini za majukumu wakuu,

Husika na kichwa cha habari hapo juu, mke wangu anamiguu iliyokonda sana (hana supu).

Maumbile yake siyo mwembamba ila ni miguu tu imenyauka nyauka kama fito. Huwa inanikosesha amani sijifeel comfortable nikiwa nae hasa tukiongozana njiani.

KAMA KUNAUWEZEKANO WA DAWA AU HATA USHAURI NISAIDIENI WAKUU INANIUMA SANA MKE WANGU KUWA HIVYO.

Natanguliza shukrani
Pole ulikuwa unawahi nini kilichokufanya mpaka hukuangalia hiyo miguu yake kabla hujamuoa na umegundua saa hizi??au alikupuliazia nini!hahaaa...
 
WAKATI UNAMTONGOZA ULITUAMBIA TUKUCHAGULIE! ACHA UJINGA PAMBANA NA HALI YAKO.MIGUU NDIO NINI PAPUCHI YAKE IPOJE KWANI!! TUKUSHAURI KABISA KWANI UTATUSUMBUA BAADAYE
 
Ulitongoza, ukachumbia, ukatoa mahali, ukaoa.... huko kote ulikuwa hujaiona hiyo miguu?
Alipewa papuchi siku ya ndoa labda mkuu...pia inaelekea huwa hapendi mademu wanaovaa sketi eti anawaona kama washamba flani hivi na matokeo yake amebambikwa
 
Kama hauko comfortable nae. Muache hujampenda.
Ungempenda wala hata usingeona hiyo miguu ni mapungufu.
Unabishana na mungu.
Mpeleke akafanyiwe plastic surgery aongezwe vinyama basi .lakini hela unayo
Watu wa aina yako ndiyo mnasababisha wanawake watumie madawa ya kunenepesha maumbile. Kipindi unamuoa hukuiona? Au ulioa chura? Ridhika naye na uwe na amani kwa jinsi alivyo.
Kipindi Mungu anamuumba alijua kabisa yeye hahitaji miguu minene bali hiyo myembamba ndiyo saizi yake. Sasa wewe Unataka kimkosoa Mungu?
Alioa kwa shinikizo...hajui kwamba kuna watu wamewakuta waume ama wake zao wakiwa wamejazia lakini ukichukua picha zao za miaka 15 iliyopita walikuwa vimbaumbau...huyo hajui anachokitaka nini kwa mwanamke na hapo akimwacha alafu akampata jamaa mwingine shape ya bidada ikabadirika mpaka miguu atakuwa anatokwa na machozi
 
Kaka unatuchanganya huyo ni mkeo sio mchepuko, kabla ya kumuoa iliridhika naye kila idara how comes sasa ndio unaona miguu miembamba, beba msalaba wako
 
16475108ac5d22519d27a22121f18d2c.jpg
Tuache utani kuna miguu mingine[emoji3] [emoji3] [emoji3] . Mimi kuna demu nilimtaman kipindi my wife akiwa mjamzito. Basi nkajitoa ufaham kumtokea kwa bahati mbaya au nzuri hatukufanikiwa kutimiza lengo, kuna ndezi mmoja alitibua.
Ila sasa hivi huwa nikimwangalia huyo demu najiuliza nini kilinivutia kwake maana ana tu miguu kama fito, mapaja yake mawili ndo mguu 1 wa wife dah nikimcompare na wife nabaki kujidharau mimi.
 
Back
Top Bottom