elvee
JF-Expert Member
- Jan 27, 2017
- 1,110
- 1,625
Kweli inabidi kuwazowea tu maana hakuna namna hapo.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] utawaweza basi mie nshawazowea hivyo hawanipagi shida hata kidogo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli inabidi kuwazowea tu maana hakuna namna hapo.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] utawaweza basi mie nshawazowea hivyo hawanipagi shida hata kidogo.
Pole ulikuwa unawahi nini kilichokufanya mpaka hukuangalia hiyo miguu yake kabla hujamuoa na umegundua saa hizi??au alikupuliazia nini!hahaaa...Habarini za majukumu wakuu,
Husika na kichwa cha habari hapo juu, mke wangu anamiguu iliyokonda sana (hana supu).
Maumbile yake siyo mwembamba ila ni miguu tu imenyauka nyauka kama fito. Huwa inanikosesha amani sijifeel comfortable nikiwa nae hasa tukiongozana njiani.
KAMA KUNAUWEZEKANO WA DAWA AU HATA USHAURI NISAIDIENI WAKUU INANIUMA SANA MKE WANGU KUWA HIVYO.
Natanguliza shukrani
Kabisa my dear. Hebu njoo kule basi.Kweli inabidi kuwazowea tu maana hakuna namna hapo.
Atakuwa wa kichaga Huyo, usoni wazuri, rangi inavutia lkn kifua na miguu............ Utaajaza mwenyeweMchaga katika ubora wake [emoji23] [emoji23]
Akha mwenzangu[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
Kujiamini ndio kila kitu mwaya.
Hajaoa kasema mwanamke wake.Mwambie amuache atafute mwenye matende!Ulitongoza, ukachumbia, ukatoa mahali, ukaoa.... huko kote ulikuwa hujaiona hiyo miguu?
Atakuwa mmbuluAtakuwa wa kichaga Huyo, usoni wazuri, rangi inavutia lkn kifua na miguu............ Utaajaza mwenyewe
Hahahaaa. Ndio hapo sasa.Akha mwenzangu
zote baraka za muumba ,mbona tukipewa sura nzuri hatuzifichi
na dunia y leo ngoko hazimata kabisa[emoji23] [emoji23]Hahahaaa. Ndio hapo sasa.
Alipewa papuchi siku ya ndoa labda mkuu...pia inaelekea huwa hapendi mademu wanaovaa sketi eti anawaona kama washamba flani hivi na matokeo yake amebambikwaUlitongoza, ukachumbia, ukatoa mahali, ukaoa.... huko kote ulikuwa hujaiona hiyo miguu?
Kama hauko comfortable nae. Muache hujampenda.
Ungempenda wala hata usingeona hiyo miguu ni mapungufu.
Unabishana na mungu.
Mpeleke akafanyiwe plastic surgery aongezwe vinyama basi .lakini hela unayo
Alioa kwa shinikizo...hajui kwamba kuna watu wamewakuta waume ama wake zao wakiwa wamejazia lakini ukichukua picha zao za miaka 15 iliyopita walikuwa vimbaumbau...huyo hajui anachokitaka nini kwa mwanamke na hapo akimwacha alafu akampata jamaa mwingine shape ya bidada ikabadirika mpaka miguu atakuwa anatokwa na machoziWatu wa aina yako ndiyo mnasababisha wanawake watumie madawa ya kunenepesha maumbile. Kipindi unamuoa hukuiona? Au ulioa chura? Ridhika naye na uwe na amani kwa jinsi alivyo.
Kipindi Mungu anamuumba alijua kabisa yeye hahitaji miguu minene bali hiyo myembamba ndiyo saizi yake. Sasa wewe Unataka kimkosoa Mungu?
Si kidogo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] duh kazi ipo
Tuache utani kuna miguu mingine[emoji3] [emoji3] [emoji3] . Mimi kuna demu nilimtaman kipindi my wife akiwa mjamzito. Basi nkajitoa ufaham kumtokea kwa bahati mbaya au nzuri hatukufanikiwa kutimiza lengo, kuna ndezi mmoja alitibua.