Mwanamke wangu ananiomba sana hela. Kwa hali hii nakimbia mbio ndefu sana niwaachie pasi wengine

Mwanamke wangu ananiomba sana hela. Kwa hali hii nakimbia mbio ndefu sana niwaachie pasi wengine

Nyie ndo wale mlioingia mahusiano Kwa gia ya kuhonga vijiwe vinawaambia et huwez pata mwanamke mpaka uhonge ndo maana kimekupata kitu kizito

Hajakupenda kapenda harufu ya walet yako na wewe inaonekana ni mtoaj mzur hongera
 
Nyie ndo wale mlioingia mahusiano Kwa gia ya kuhonga vijiwe vinawaambia et huwez pata mwanamke mpaka uhonge ndo maana kimekupata kitu kizito

Hajakupenda kapenda harufu ya walet yako na wewe inaonekana ni mtoaj mzur hongera
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kuna katoto kakipare nilikagonga mara 2, hiyo mara ya pili tulivyomaliza wakati kanataka kuondoka kakanipiga mzinga wa laki2, nilikachana hapohapo nikakauliza kwa hio umeamua kuniuzia kwa lakilaki kila tukikutana?
Nikakaambia kama kanaona laki ni pesa ndogo kaende Sinza au Buguruni kakauze kaone hio laki kataipata kwa siku ngapi, kalinuna balaa kakadai sikaheshimu nimekafananisha na malaya, kalinikaushia wiki mbili hakapigi simu wala hakatumi sms na mimi nikakalia buyu.
Hasira zake zilipoisha kenyewe kakanitafuta kanadai kamenimiss na kuanza kujilalamisha kua mimi sikapendi.
Hivi viumbe tunatakiwa tuishi navyo kwa akili tu, ukijifanya kuendekeza sana hisia inakula kwako.
 
Muwe mnatongoza level zenu huyo sio level yako
Mkuu sasa Mwanamke kama huyu level yake ni Mwanaume wa kipato gani, kama Mwanaume mwenye pesa zake hawezi kuingia kwenye mahusiano na Mwanamke mwenye kuomba vitu vidogo vidogo.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kuna katoto kakipare nilikagonga mara 2, hiyo mara pili tulivyomaliza wakati kanataka kuondoka kakanipiga mzinga wa laki2, nilikachana hapohapo nikakauliza kwa hio umeamua kuniuzia kwa lakilaki kila tukikutana?
Nikakaambia kama kanaona laki ni pesa ndogo kaende Sinza au Buguruni kakauze kaone hio laki kataipata kwa siku ngapi, kalinuna balaa kakadai sikaheshimu nimekafananisha na malaya, kalinikaushia wiki mbili hakapigi simu wala hakatumi sms na mimi nikakalia buyu.
Hasira zake zilipoisha kenyewe kakanitafuta kanadai kamenimiss na kuanza kujilalamisha kua mimi sikapendi.
Hivi viumbe tunatakiwa tuishi navyo kwa akili tu, ukijifanya kuendekeza sana hisia inakula kwako.
Mkuu wanakamtindo ka kubeti na wewe ungeingia kwenye mfumo ungeliwa.
 
Mkuu wanakamtindo ka kubeti na wewe ungeingia kwenye mfumo ungeliwa.
Mimi sinaga ushamba huo, binafsi ninajijua mimi nimekamilika niko full package, nikiamua kutongoza zile pisi kali haswa kwa siku siwezi kukosa pisi 2 au 3 hapo achana na zile pisi zinazonishobokea zenyewe.
Hao wakuingia kwenye mfumo watawapata walugaluga sio mimi niliekulia kitaa mitego yao yote naijua.
 
Kunà wakati inakuwa hivyo. Mtu humpendi na umekosa sababu ya kumuacha unampiga mizinga ya ajabu ajabu kama hiyo uliyopigwa wewe akijua kabisa huwezi kumpa utamuona omba omba na kuachana nae.
Ila kuna watu wanasema kuwa kuna exception ya hivi, sio kila mwanamke anaemuomba hela mwanaume mwanzoni mwa mahusiano ni kuwa hampendi huyo mwanaume 🤔
Demi
 
Ila kuna watu wanasema kuwa kuna exception ya hivi, sio kila mwanamke anaemuomba hela mwanaume mwanzoni mwa mahusiano ni kuwa hampendi huyo mwanaume 🤔
Demi
Ni kweli.
Lakini huyu mwenzetu unaona kabisa kwamba ana nia ya kukomoa. Huwezi toa mahitaji yako kihivyo tena bila adabu
 
Ni kweli.
Lakini huyu mwenzetu unaona kabisa kwamba ana nia ya kukomoa. Huwezi toa mahitaji yako kihivyo tena bila adabu
Ila kwa mm nilichoona kuna wadada wengine wanakupiga mizinga, like wanakua Wana hisia na wewe ila hawana hisia na wewe kihiiivyo, utakuta hisia zake kwako ni 51% hawa ndo wanaishia kuomba hela ndogo ndogo kila mara, huku wakitegemea uwaoe/uwe nao kwenye mahusiano Demi
 
Ila kwa mm nilichoona kuna wadada wengine wanakupiga mizinga, like wanakua Wana hisia na wewe ila hawana hisia na wewe kihiiivyo, utakuta hisia zake kwako ni 51% hawa ndo wanaishia kuomba hela ndogo ndogo kila mara, huku wakitegemea uwaoe/uwe nao kwenye mahusiano Demi
Mwanamke anaekupenda kamwe hawezi kukupiga vizinga, akiwa amekwama anaweza kukushirikisha kwa kukuelezea tu jinsi alivyokwama na kukuacha mwenyewe uangalie utamsaidia vipi pasi na kukupangia kiwango cha kumsaidia.
Hawa wote wanaoomba leo hiki kesho kile na kukupangia kabisa kiasi cha pesa ni kausha damu unatakiwa upige chini haraka.
 
Mwanamke anaekupenda kamwe hawezi kukupiga vizinga, akiwa amekwama anaweza kukushirikisha kwa kukuelezea tu jinsi alivyokwama na kukuacha mwenyewe uangalie utamsaidia vipi pasi na kukupangia kiwango cha kumsaidia.
Hawa wote wanaoomba leo hiki kesho kile na kukupangia kabisa kiasi cha pesa ni kausha damu unatakiwa upige chini haraka.
Kweli kabisa mkuu
 
Screenshot_20250113-231514_1.jpg
 
Ila kwa mm nilichoona kuna wadada wengine wanakupiga mizinga, like wanakua Wana hisia na wewe ila hawana hisia na wewe kihiiivyo, utakuta hisia zake kwako ni 51% hawa ndo wanaishia kuomba hela ndogo ndogo kila mara, huku wakitegemea uwaoe/uwe nao kwenye mahusiano Demi
Kweli kabisa huyu wa kwangu nadhani ni mmoja wao
 
Back
Top Bottom