Mwanamke yupo na uwezo mkubwa wa uvumilivu.

Mwanamke yupo na uwezo mkubwa wa uvumilivu.

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
23,928
Reaction score
63,499
Jumapili njema .


Katika nyakati tofauti huwa watu wanazungumzia uwezo wa uvumilivu wa mwanamke katika MAISHA.

Leo nitazungumzia kuhusu uwezo wa kipekee wa mwanamke unaitwa Incubation power
incubation ni uwezo ambao mwanamke anakuwa nao unaomfanya kuweza kumvumilia MTU au jambo fulani, au wazo lake .

Hoja hii nitaithibitisha kupitia Mama kwa mtoto wake na Mke Kwa Mume wake .


Katika kutembea huku na kule mwaka 2017 nilikaa na kuishi eneo la ukonga katika zile kota za maaskari.

Kila jumamosi na jumapili nilikuwa nikiona wanawake wakija kuwatembelea vijana wao waliopo gerezani

Kiufupi wanawake walikuwa wanakuja Kwa wingi huku wakiamini hao vijana kuna siku watatoka gerezani na kuwa watu wema. Hii nguvu inaitwa Incubation power.
swala la pili katika ndoa .

Ni rahisi mwanamke kuishi na mwanaume mlevi Ila sio rahisi mwanaume kuishi na mwanamke mlevi napozungumzia ulevi nazungumzia tilalila John worker.



Hivyo Kwa hili wanawake msiendelee kujichukulia kawaida Mungu kaweka uwezo mkubwa ndani yenu jitahidini muutumie vizuri huo uwezo katika mambo chanya.

Incubation power inaweza kukufanya ukaanzisha Biashara na ukawa na uvumilivu hadi Biashara ikakua .
 
Wanawake gani unazungumzia mkuu! Kama ni wakijijini ambao hawajui mawigi sawa. Ila hawa wakujiita-Rihanna wakati majina ya asili ni Mwajuma hapana. Big NO
 
Ningependa wanawake wajitetee wenyewe yaan utazan jf ina mamen tu au wana wake wa humu ni toleo la kimalaya malaya so hawana knowlge yoyote kuhusu maisha wao ni bar gheto akiwa gheto mtandaoni akiwa bar ni kuuza nyapu mana siwa
 
Ningependa wanawake wajitetee wenyewe yaan utazan jf ina mamen tu au wana wake wa humu ni toleo la kimalaya malaya so hawana knowlge yoyote kuhusu maisha wao ni bar gheto akiwa gheto mtandaoni akiwa bar ni kuuza nyapu mana siwa

Kwa ujasiri kabisa umekosa shuhuda nzuri kuhusu Mwanamke !
 
Wanawake, ukiona mtu anakusifia wewe ni mvumilivu, strong, independent, super woman jua anataka kukupiga na kitu kizito au kukutumia. Kimbia.
 
1721575631.gif
 
Umenena vyema hakika wanaeake wanavumilia mengi kwenye jamii zetu hizi kuta nne za vyumba zetu zingekua zinaweza sema zingeshuhudia mambo mengi sana tusiyoyaona
Tunavumilia mengi
 

Attachments

  • FB_IMG_1729371139727.jpg
    FB_IMG_1729371139727.jpg
    44.8 KB · Views: 8
Back
Top Bottom