KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,804
- 12,227
Ukute mama akimtusi mwanae wa kumzaa kwa kutaja kiungo chake ndio utashangaa...
Upo udhaifu wa kibinadam, lakini pia kuna udhaifu wa mwanamke..ambao kwa maoni yangu, unazidi udhaifu wa mwanaume. Wale tunaofuatilia maswala ya Mungu tunaaminishwa kuwa "mwanamke ni kiumbe dhaifu"...
Hata mimi nimeshahitimisha kuwa mwanamke ni kiumbe dhaifu.
Kwa sababu haingii akilini kuona mwanamke akimtusi mwanamume kuwa eti 'ana mambo ya kike'.
Mambo ya kike yangekuwa si 'mabaya' kwa nini sasa hata hao hao wanawake wangeyahusisha na tusi?
Na imani yangu ni kwamba hata wao wanawake [na hapa nazungumzia kiujumla jumla tu] huwa wanajiona ni viumbe duni mbele ya wanaume.
Mimi najiona mwenye nguvu mbele yako
Ila kwanini Mungu alimlaza adam usingizi kisha akampa msaidizi eva.
Acha mambo ya kike....lol:couch2:Wanawake wasingekuwepo dunia ingekuwa salama
Toka zamani huko watu wamekua wakifundishwa kua mwamanke ni sehemu ya matatizo katika jamii. Ndio maana watu husema dunia ingekua salama kama hakungekua na mwanamke.
Watu wa dini wanasema shida ilianza kwa adamu ambae baada ya kupata matatizo yake akamlaumu mungu kwa mwanamke aliemletea kwamba ndio chanzo cha matatizo yake.
Plato alifundisha kwamba duniani kuna mikosi miwili, ya kwanza ni kifo ya pili ni kuzaliwa mwanamke, kwamba kuzaliwa mwanamke ni mkosi mkubwa unaopitwa na kifo pekee.
Socret yeye alikua anafundisha kwamba ukiwa muoga muoga hivi ukifa utazaliwa mwanamke, kwa hiyo watu wakawa na negativity na uanamke toka zamani hizo.
Binafsi sijui tatizo ni nini hasa.
Hivyo tena.!!! Natumaini wewe ni mwanaume au...
Oyaaa...we unatafuta nini huku?
Hatujadili mambo ya Kim Jong Un wala Putin hapa bana.
Muache mwenzako uko!
Ni mchumba wako huyo?
Ha haa toka zako