KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,804
- 12,227
Hata kwa TB Joshua wanaoombewa na kuanguka kwa mapepo ni wanawake wengi.
Ukija kwenye baibo, waliohesabiwa wanaume 5000, bila wanawake.
Ukija kwa waislam, wanawake wametengwa kwenye nyumba za ibada na akiwa kwenye siku zake haruhusiwi kufunga.
Ukija kwenye baibo, waliohesabiwa wanaume 5000, bila wanawake.
Ukija kwa waislam, wanawake wametengwa kwenye nyumba za ibada na akiwa kwenye siku zake haruhusiwi kufunga.