TANZIA Mwanamuziki Hussein Jumbe afariki dunia

"Nilianguka mkaninyanyuaa sikuweza kusimama mimi,
Hamkukata tamaa, nikajaribu teeena, Mungu akawajalia nikawashika bega...."

"Siri ya ninii, nini faida yake,
Siri ya ninii, nini hasara zake,
Siri ooh, siri ya mapenzii,
Mapenzi ya siriii, nalia lia"

Rest easy legend,
Umetuburudisha kwa sauti nzuri na mashairi mazuri.
 
Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un
 
Bwana ametoa Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…