TANZIA Mwanamuziki Hussein Jumbe afariki dunia

TANZIA Mwanamuziki Hussein Jumbe afariki dunia

"Baada ya familia kuzoea nyumba

Nguzo nimeteteleka nyumba inayumba

Mi nateseka na maradh

Naumia mim kwa mawazo

Mi nateseka na maradh

Anaumia muuza Viat kwa mawazo

Sijui watoto wangu watakula nin"


Wanaume tumeumbwaaaaa

matesooo

mateso

Kuhangaika
Kipaji maridhawa kimeanguka; sisi sote tu wa Mwenyezi Mungu na kwake tutarejea siku moja.
 
Kweli mkuu kuna nyimbo ukisiliza kwa mimi mwenye machozi ya karibu unajikuta unatoa machozi yaani kama amekuimbia hisia zinakuwa kali kuwaza.

Hata siku moja haiwezi tokea nitoe chozi kisa vitu vya kipumbavu, na Mwenyezi Mungu ameharamisha huu upuuzi

Allah atujaalie mwisho mwema

Bhujiku ng'waka mwaniki!
 
Back
Top Bottom