makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
AmenRip Jumbe
Amen
AmenRIP Jumbe
Kipaji maridhawa kimeanguka; sisi sote tu wa Mwenyezi Mungu na kwake tutarejea siku moja."Baada ya familia kuzoea nyumba
Nguzo nimeteteleka nyumba inayumba
Mi nateseka na maradh
Naumia mim kwa mawazo
Mi nateseka na maradh
Anaumia muuza Viat kwa mawazo
Sijui watoto wangu watakula nin"
Wanaume tumeumbwaaaaa
matesooo
mateso
Kuhangaika
Kweli mkuu kuna nyimbo ukisiliza kwa mimi mwenye machozi ya karibu unajikuta unatoa machozi yaani kama amekuimbia hisia zinakuwa kali kuwaza.
AmeenMwenyezi Mungu ampe kauli thabiti.
Nafikiri hayo ni maombi na Dua za Kila mmoja wetu.Allah anijaalie mwisho mwema
Kweli mkuu kuna nyimbo ukisiliza kwa mimi mwenye machozi ya karibu unajikuta unatoa machozi yaani kama amekuimbia hisia zinakuwa kali kuwaza.
Nafikiri hayo ni maombi na Dua za Kila mmoja wetu.
Wewe si Mwanaume mkuu mimi sio kama napenda huwa inatokea tu hata nikiangalia movie za kuhuzunisha.Hata siku moja haiwezi tokea nitoe chozi kisa vitu vya kipumbavu, na Mwenyezi Mungu ameharamisha huu upuuzi
Allah atujaalie mwisho mwema
Bhujiku ng'waka mwaniki!
Allah atujaalie mwisho mwema waislamu wote ewe ndugu yangu katika imani
Sisi tulio hai tujiandae na kifo sababu hatujui siku wala saa Mungu atakapozichukua roho zetu.Duniani tunapita.
Kweli kabisa Mkuu, tunatakiwa kuwa tayari; maana hapa duniani hatuna uraia wa kudumu.Sisi tulio hai tujiandae na kifo sababu hatujui siku wala saa Mungu atakapozichukua roho zetu.
AmenApumzike mahali pake Mungu alipompangia..
Asante sana kwa kututumia wimbo huo.Kwa kumuenzi wiki hii hiki kibao chake nitakisikiliza nikiwa nyumbani, kwenye gari, kwenye biashara zangu za Kitimoto