Mpemba Mimi
JF-Expert Member
- Jul 6, 2013
- 1,656
- 2,483
Alikuwa anachangamsha sana pale BOARD ROOM.....Alikuwa na ziwa flan hiv amazing,
Kwa wale wa style pemdwa kwenye mambo yetu watanielewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikuwa anachangamsha sana pale BOARD ROOM.....Alikuwa na ziwa flan hiv amazing,
Kwa wale wa style pemdwa kwenye mambo yetu watanielewa
Huku ambako umrmjua Maunda!Mjini ni wapi?
Huyo maunda nimemjulia hapa JF na aliyepost huenda wala hayupo huko unapopaita Mjini.Huku ambako umrmjua Maunda!
Sio tu Banana, hadi Monalisa ... Alitoka kwenye msiba wa rafiki yakeBanana anasema walikuwa wote kwenye msiba wa rafiki yao
Kwani huu wimbo aliimbiwa Maunda?[emoji445] Comeback Comeback Comeback Nzeeela, Nzelaa Weetuu, Nzela Mama Miss You Nzela Wa Mamaa, Your Brother N Sisters Miss You, Comeback Nzela Weetu, Comeback Nzeeela, Comeback Hoome, Comeback ( Mara 6), Ooooh Nzeelaa [emoji445]
We Will Miss You Nzela [emoji26]
Ukijibiwa nijulishe!Kwani huu wimbo aliimbiwa Maunda?
Na mwendokasi yameuwa saaanaMalori safari ii yameamua aisee
Inaitwaje mkuuMiti nuksi hiyo kamwe usipande nyumbani kwako.....
Kwa dini takatifuAtazikwa kwa dini gani?
Yani saingine waweza sema sijui bora hata angekuwa hamiliki gari .
Bora hata asingejifunza kuendesha Gari labda yasingemkuta dada wa watu ! [emoji848][emoji848]
Atazikwa kwa dini gani?
Huyo nzee Defao nae aache upuuzi,km mahari ililipwa huyo jamaa kakaa na huyo binti miaka kibao kuleta mlolongo kipindi cha msiba kutamfufua.Nasikia Kuna mgogoro huko kwamba Maunda Msiba uwe kwao au Huyo Mzazi Mwenzake.
.
Mzee Zoro anadai Kwamba Msiba hauwezi kuwa pale kwake Tuangoma kwakua Mzazi mwenzie na Maunda alilipa mahari lkn hakuoa.
Kila nafsi itaonja mauti wewe rukaruka tu wakati ardhi inakuchoraDah! Mtoto mzuri jicho zuri kapotea R.I.P maunda Zoro we gonna miss you mrembo.