TANZIA Mwanamuziki Maunda Zorro afariki dunia kwa ajali ya gari, mazishi Jumamosi Aprili 16, 2022

Mungu naye si ni nafsi, au ...


Jesus is Lord
 
Mungu naye si ni nafsi, au ...


Jesus is Lord
Wote watakufa, isipokua Allah peke yake atabaki.

بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ قُلْ هُوَ اللَّهُ أَحَدٌ
Sema: Yeye Mwenyezi Mungu ni wa pekee.

اللَّهُ الصَّمَدُ
Mwenyezi Mungu Mkusudiwa.

لَمْ يَلِدْ وَلَمْ يُولَدْ
Hakuzaa wala hakuzaliwa.

وَلَمْ يَكُنْ لَهُ كُفُوًا أَحَدٌ
Wala hana anaye fanana naye hata mmoja.
 
Malori ya mchanga ni tatizo kubwa Sana ,pamoja na Yale ya kubeba mifugo , aisee haya madude ukikutana nayo stay away , alaf madereva wake always huwa wapo vifua wazi
Yeye ndio alilifuata Hino upande wa kulia...akitokea Norasko kiganboni
 
Mimi nimeleta taharifa na picha juu, angesema Sheikh Yahaya ungesadiki?
Kidogo kuna vitu vichache sana alikuwa anabahatisha, hata huku mtaani kuna watu huwa wanabahatisha hivyo hivyo
 
Kidogo kuna vitu vichache sana alikuwa anabahatisha, hata huku mtaani kuna watu huwa wanabahatisha hivyo hivyo
Okay, ila huyu sio Mganga/mchawi kama Yahaya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…