Blood of Jesus
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 4,486
- 8,098
Mungu naye si ni nafsi, au ...Muda umefika hamna namna,
كُلُّ نَفْسٍ ذَائِقَةُ الْمَوْتِ ۗ وَإِنَّمَا تُوَفَّوْنَ أُجُورَكُمْ يَوْمَ الْقِيَامَةِ ۖ فَمَنْ زُحْزِحَ عَنِ النَّارِ وَأُدْخِلَ الْجَنَّةَ فَقَدْ فَازَ ۗ وَمَا الْحَيَاةُ الدُّنْيَا إِلَّا مَتَاعُ الْغُرُورِ
Kila nafsi itaonja mauti. Na bila ya shaka mtapewa ujira wenu kaamili Siku ya Kiyama. Na atakaye epushwa na Moto na akatiwa Peponi basi huyo amefuzu. Na maisha ya dunia si kitu ila ni starehe ya udanganyifu.
Wote watakufa, isipokua Allah peke yake atabaki.Mungu naye si ni nafsi, au ...
Jesus is Lord
Mumewe hatajwi popote. Umarioo ni shidaa. Asije kuuza Ile nyumba ya MAREHEMUAtazikwa kwa dini gani?
Mkuu umewahi pita usiku njia ya tegeta_bunju?
Ni hatari hiyo njia malori yanakimbia mwendo wa fast & furious by paul Walker
Hahaha... Truth hurts maam. Ulipretend kuumia posts za mwanzo then ukaanza kutafuta kasoro kwa marehemu. Guess mnafiki ni nani?!Wee nae hebu kwenda huko, unafiki tu[emoji57][emoji57]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Hahaha...Nilijua watu kama wewe wenye viherehere lazima muwepo kipi kibaya hapo?
Acha ujuaji!!!!
Yeye ndio alilifuata Hino upande wa kulia...akitokea Norasko kiganboniMalori ya mchanga ni tatizo kubwa Sana ,pamoja na Yale ya kubeba mifugo , aisee haya madude ukikutana nayo stay away , alaf madereva wake always huwa wapo vifua wazi
Ulikwepo? Uliona?Yeye ndio alilifuata Hino upande wa kulia...akitokea Norasko kiganboni
Kidogo kuna vitu vichache sana alikuwa anabahatisha, hata huku mtaani kuna watu huwa wanabahatisha hivyo hivyoMimi nimeleta taharifa na picha juu, angesema Sheikh Yahaya ungesadiki?
Okay, ila huyu sio Mganga/mchawi kama Yahaya.Kidogo kuna vitu vichache sana alikuwa anabahatisha, hata huku mtaani kuna watu huwa wanabahatisha hivyo hivyo