Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu dada alistahili tuzo.
mama ade!kumaAmayO
Banana anasema walikuwa wote kwenye msiba wa rafiki yao"Chanzo cha kifo ni ajali ya gari, niliachana na Maunda saa 12 jioni ajali amepata mida ya saa 4 usiku, ila sina uhakika sana (wa muda aliopata ajali) hadi nikifika Hospitali maana nilirudi nyumbani nikiwa nimechoka sana (Tafsiri yangu: kuchoka sana=Kulewa sana)."
Kwa maelezo haya nikajua marehemu alikuwa amekunywa pombe kupita kiasi na huenda wakiwa msibani walikuwa wanakunywa pombe. R.I.P Maunda Zorro.
Nawewe unakuwaga na matusi namna hii!!?kumaAmayO
Wanajiamini sana sababu wa ukubwa wa magari yao wanaleta sana maafa.Madereva wa haya malori wengi either makondakta au deiwaka au wanavuta bangi na kutumia vinywaji vikali
Mchana hayawezi kukimbia hovyo.Unataka yawe mchana ili yaparamie wengi zaidi?
Don't say that be respectful.....Hili limwaka lilishaanza kuniharibia mambo yangu asee[emoji26][emoji26]
RIp mrembo
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Mnaaza kulaumu malori wakati marehemu inasemekana alikuwa kalewa
Kweli mkuuDon't say that be respectful.....
omba neema kwa Mungu
Acheni usanii kenge nyieKuna Mtumishi wa Mungu alitabiri juzi kuhusu iliView attachment 2186839