George Betram
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 4,672
- 6,272
Chief.We ndio unaona kama hakiendani
Kwani kutamba kunaangaliwa kwa kigezo cha tuzo?
Mziki ulikua kipaji leo unatia hasira, umekua kazi unafanywa na waliokosa ajira/
Nakupa kidogo kilichokosa amira, kigezo kwenye uwezo sio mchezo ni hira/
It's Scars
Brain yako haifanyi kazi vyema.
Hii ni brain heartBrain yako haifanyi kazi vyema.
Hakika wewe ni mwehu!Hii ni brain heart
M' culture naku reflect tanzania, mlio jela au mlio brek mkizamia/
Sicheki cheki hata ukitania, man hii record heavy ona haubebi hata kwa scania/
Skiza tenzi motomoto, nimefunzwa sitishiki na hizo kesi ndogo ndogo/
ma mcees na verse za uongo uongo na longo longo, skiza tenzi kama gesi ya mkondo wa songo songo nyoko/
It's Scars
Nazungumzia kichwa chako kinachotumika kutathmini utimamu wako wa akili.
Doooh!Mi ni mavi mi ni aibu inayokukuta ukweni, mi ndo gono ngoma mimba inayotungwa ukeni/
Mi ndo asili ya popobawa nimekupitia nyuma hausemi, na mi ndio herufi ukizofunzwa shuleni/
It's Scars
Kichwa changu hichi,kichwaNazungumzia kichwa chako kinachotumika kutathmini utimamu wako wa akili.
Sasa kama ni chini au juu,wewe mwenyewe ndio unafahamu kilipo.
Acha kutumia "bangi" kijana, kichwa chako "chepesi" sana.Kichwa changu hichi,kichwa
Changu kishajadili/ kwamba
Nitalala na wewe na haifiki jumapili/
Nitakuwa nimeshakuacha
Ah! utanitafuta
Kwenye simu ambayo
Namba nitakuwa nishaibadili/
Utanitafuta mara mbili/
Mara tatu kisha nne
Utagundua kurudi
Sina dalili/ ngoja ngoja
Itang’ata moyo wako
Kikatili/ mja wa
Watu maumivu
Hukujiandaa kuyakabili/
Utanipamba majina ya
Kikafili/ sitasikia maana
Nitakuwa mbali nishasafiri/
Nishasahau utatunga nahau
Kukanda mwili/ na huo
Wakati haukuwahi kuutabiri/
Ila upo
It's Scars
Ndio maana nilisema wengi wenu huwa hamna exposure, mnazungukia na kuishia hapo hapo Bongo. Hamjui chochote au lolote nje ya Mondi, Kiba na sijui akina wengine hao huko kwenu akina Amber Rutty...hehehehe
Oyaaaa!!!! Mbona haueleweki????[ Surprise ] A Top Talented South African Socialite Zodwa Wabantu and Kenya's Governor Hassan Ali Joho ,Secretly Engaged in Durban - South Africa
Zodwa Zodwa Wabantu who is popularly known by his stage name Zodwa is now engaged to 24 year old Guy may now seem to have ana affair w...www.ajiraalerts.com
Kali ni mkali nilimsikia kwenye wimbo alioshirikiana na kina roma mule alibust hatari, ila kusema kenya mnaongoza kwa kila kitu hadi jeshi napinga, wanajeshi wenu ni wezi wa mikate supermarket, wanapigana na al shababu watatu na bado al shababu walionekana washindi, msikilize mwanangu king kaka kwenye #wajinga nyinyi alivyoiponda kenya navy, kwenye jeshi hamuiwezi tanzania hata robo WajingaNyinyiNdio maana nilisema wengi wenu huwa hamna exposure, mnazungukia na kuishia hapo hapo Bongo. Hamjui chochote au lolote nje ya Mondi, Kiba na sijui akina wengine hao huko kwenu akina Amber Rutty...hehehehe
Baaado. hiyo mistari haina hadhi hata ya kuwa nominated na Mpanda music awards.Dear sirGod ni wewe tu ndo unanijua,
Kimawazo kiakili mimi ni mtoto ninakua,
Nina uchungu wa moyo,niwewe tu wa kunichua,
Adui wangu wa kwanza,hah! Nishamuua.
Coz kuna stori dem wangu ana umeme na shoti wanamshtua,
Masela dakka zero ashaibuka geto wanamuipua,
Ninaowaamini hawana dini hawana dua,
Nikianguka wanashushua,
Mi ni kocha wa thamani sometimes nina kochi hadi meza,
Wanadai wanakimbiza mi ntawalipa wanapoteleza,
Ndomana nipo sharp kama lazor, Gillette
Napochana Jilete,
Nikuchane,nikiwa na pesa wako fasta kama jet
Nikiwa na shida kama Michael wana'escape.
Kenya nani anamfunika kwa sasa?Sio OG kenya nzima
We ndo shabiki maandaziBaaado. hiyo mistari haina hadhi hata ya kuwa nominated na Mpanda music awards.
.
Leta hapa Ulimi mbili, Bongo fleva n.k
AhsanteWe ndo shabiki maandazi