Thank you buddyK jones
Namkubali
Ngori
Khali cartel
Refix Ya ojuelegba inaniinspire sana
Nataka iyo doh
anafreestyle kwenye beat yeyote
Guy ni best rapper sema Hip hop Ea kama Watu wengi hawaielewi
Angekuwa Nigeria 🇳🇬 Au Ghana 🇬🇭 Sarkodie Asingemfikia
Kwangu ndo Best rapper
Kwa hivyo wewe ni mtoto wa bwenyenye. Sawa mkuu. Natumai umetia bidii kwenye kitabu, sio kukimbizana na wasichana tu.Precisely
Sikujui kwani nyimbo zako ni zipi?Yani unaachaje kunijua Papa Jones kwa mfano?
wazamani wanajulikana ila huyu hafahamiki kama unamfahamu hongeraAcha zako.
Usituhusishe wabongo wote, Sisi wengine tunawafahamu mpaka wa zamani kabisa wakina Erick Wainaina.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani akina Rihana, Jay z wapo kitongoji gani Tanzania mbona wanajulikana usiforce tuwajue wasani wa vitongoji vyenuMtu mpaka anapata tuzo la mwanamuziki bora Afrika halafu unasema hajulikani, wewe binafsi kama haumjui wacha kuwaburuza wenzako, wewe ndiye utakua umelala na huna exposure, jifunze kufuatilia mambo ya dunia nje ya kitongoji unachoishi.
Umeongea point kubwa sanaHapana mkuu huyo jamaa ni popular sana kwenye hip hop zile ngumu. Sema hip hop ngumu haipendwi na wadau wengi na ndio maana unaona kama hawajulikani
Ila kiuwezo hamfikii niki mbishi hata kwa dawa
Sasa ndio mnaforce kwamba anajulikana kwendaaaaaaaaaa😂😂😂 Wewe husikilizi hip hop so huwezi mfaham Og
So kasikilize taarab huko 😂😂😂
Mazishi, Superman, siogopi.Sikujui kwani nyimbo zako ni zipi?
What are you talking men, yani Niki hamfikii Khali hata theluthiHapana mkuu huyo jamaa ni popular sana kwenye hip hop zile ngumu. Sema hip hop ngumu haipendwi na wadau wengi na ndio maana unaona kama hawajulikani
Ila kiuwezo hamfikii niki mbishi hata kwa dawa
Kaligraph level zake ni kina kadgoWhat are you talking men, yani Niki hamfikii Khali hata theluthi
hatari juu ya hatari.Khaligraph Jones ni mtu hatari sana aisee.
Sure.Bongo haina mwanahiphop wa kumlinganisha na Khaligraph Jones, jamaa ni mnoma sana.
Anabebwa na English tu lakn ni levo za madogoSure.
Yeyote utakayekutana nae njiani,,, uskose kumfahamisha.
Factor ya lugha ni kubwa sana...lakn lyrically jamaa akasome kwa nikkiWhat are you talking men, yani Niki hamfikii Khali hata theluthi
Iwe English au Kiswahili, lazma ukubali tu. Hakuna namna.Anabebwa na English tu lakn ni levo za madogo
Hahaha itaje ngoma yoyote kalii ya Unju unayoikubali kisha nikutajie ngoma ya papa Jones moja ulinganishe kuanzia mashairi hafi melody na flow styleFactor ya lugha ni kubwa sana...lakn lyrically jamaa akasome kwa nikki
Ila jamaa namuelewa sana. Very talented
Shukran sana wadau.Kuna goma moja hivi kaimba na demu wake ni bonge la wimbo jamaa namkubali sana.
Ngoma gani ya Unju inaweza hata kuikaribia Mikasa?Kaligraph level zake ni kina kadgo