Mwanamuziki Mkenya awa bora kuzidi wote Afrika, apata tuzo

Thank you buddy
 
😂😂😂😂😂😂 Mazee nashukuruni kwa support yenyu.
OG papa Jones
 
Mtu mpaka anapata tuzo la mwanamuziki bora Afrika halafu unasema hajulikani, wewe binafsi kama haumjui wacha kuwaburuza wenzako, wewe ndiye utakua umelala na huna exposure, jifunze kufuatilia mambo ya dunia nje ya kitongoji unachoishi.
Kwani akina Rihana, Jay z wapo kitongoji gani Tanzania mbona wanajulikana usiforce tuwajue wasani wa vitongoji vyenu
 
Hapana mkuu huyo jamaa ni popular sana kwenye hip hop zile ngumu. Sema hip hop ngumu haipendwi na wadau wengi na ndio maana unaona kama hawajulikani

Ila kiuwezo hamfikii niki mbishi hata kwa dawa
Umeongea point kubwa sana
 
Hapana mkuu huyo jamaa ni popular sana kwenye hip hop zile ngumu. Sema hip hop ngumu haipendwi na wadau wengi na ndio maana unaona kama hawajulikani

Ila kiuwezo hamfikii niki mbishi hata kwa dawa
What are you talking men, yani Niki hamfikii Khali hata theluthi
 
Factor ya lugha ni kubwa sana...lakn lyrically jamaa akasome kwa nikki
Hahaha itaje ngoma yoyote kalii ya Unju unayoikubali kisha nikutajie ngoma ya papa Jones moja ulinganishe kuanzia mashairi hafi melody na flow style
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…