TANZIA Mwanamuziki Mkongwe, Boniface Kikumbi Mwanza Mpango (King Kikii) amefariki dunia

TANZIA Mwanamuziki Mkongwe, Boniface Kikumbi Mwanza Mpango (King Kikii) amefariki dunia

Alihojiwa TBC akasema zile Bar hazimuhusu yeye na Familia yake hata kutumika Jina la Kitambaa Cheupe kwenye zile Bar yeye hanufaiki na chochote, mwisho wa kunukuu

Kwa hio sio za mtoto wake
Hizo bar ni za mwanae..Jesca Kikumbi
 
Back
Top Bottom