KIPUMPUSWA
Senior Member
- Jul 16, 2011
- 106
- 35
mwanamuziki Kabeya Badu amefariki leo. Chanzo cha habari TBC fm
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weka nyama kwenye habari yako.
Mwanamziki wa nchi gani?
Anafanya mziki wa aina gani?
Ni wa kike au wa kiume?
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Kabeya Kapumzike!
Huyu alikuwa mwanamuziki machachari sana, alitamba na nyimbo zake Ziada, Majuto na Mama Kaji
Pia aliuimba wimbo wa Kawelee Anne Marie kwa ustadi mkubwa akiwa na Tancut Almas!
Huyu ni Mzee Sugu aliyemalizia ngwe yake kwa kuimbia Band ya La Capital Wazee Sugu..
Alipoanza kuumwa, alinipigia simu kunijulisha na kwa hakika nilihuzunika sana[/shilla chiumbo]