Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
nyinyi ndo mnao fanya mpaka leo bhange isi hararishwe nchini [emoji260][emoji260]yani chadema kwa kiki hamjambo kila siku mnataka kutrend tu.
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Duhnyinyi ndo mnao fanya mpaka leo bhange isi hararishwe nchini [emoji260][emoji260]
Chadema ni mmeoyani chadema kwa kiki hamjambo kila siku mnataka kutrend tu.
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Bange sio chaiAmesema ndoto hiyo ya ajabu imemfanya avunjike mguu wake.
Mwanamuziki huyo Kiongozi wa bendi ya Talent amedai ndoto hiyo siyo ya kawaida kabisa na ameamua kumuachia Allah aliye mjuzi wa mambo yote.
Anadai Jogoo huyo wa ndotoni alijaribu kumdonoa na yeye aliamua kupambana nae kikamilifu kwa kumpiga kwa nguvu kubwa ndiyo maana amevunjika Mguu
πππUsiku una mengi, natamani nimuote Bushmamy ila naogopa nisije nikakivunja kifanyio changu ukutani
Mkuu, umenichekesha hahahahaaaaaaUsiku una mengi, natamani nimuote Bushmamy ila naogopa nisije nikakivunja kifanyio changu ukutani