Mwanamuziki Mkongwe Nchini Hussein Jumbe Amevunjika Mguu Wake Baada ya Kuota Akipambana Na Jogoo

Mwanamuziki Mkongwe Nchini Hussein Jumbe Amevunjika Mguu Wake Baada ya Kuota Akipambana Na Jogoo

....................Isije ikawa anatafuta kick tu maana haiyumkiniki,uote unapigana kisha uamke umeumia kweli?.....tena kupigana kwenyewe na kuku???

How!!!
Kwani wewe hujaota unapiga bao na ukiamka ni kweli boxer imelowa!
 
Waziri mkuu Majaliwa aende Temeke Mikoroshini kumtembelea na huyu mwanamuziki

Nachechemea
 
Back
Top Bottom