Angel Nylon
JF-Expert Member
- Jul 26, 2011
- 9,164
- 18,402
Mauzauza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imani za kiswahili zahusishwaAmesema ndoto hiyo ya ajabu imemfanya avunjike mguu wake.
Mwanamuziki huyo Kiongozi wa bendi ya Talent amedai ndoto hiyo siyo ya kawaida kabisa na ameamua kumuachia Allah aliye mjuzi wa mambo yote.
Anadai Jogoo huyo wa ndotoni alijaribu kumdonoa na yeye aliamua kupambana nae kikamilifu kwa kumpiga kwa nguvu kubwa ndiyo maana amevunjika Mguu
View attachment 1624849View attachment 1624878View attachment 1624879View attachment 1624880View attachment 1624881View attachment 1624883
Mkuu shkamoo? Upo nchi hii🤔Bange sio chai
Amerusha teke ukutani, hamna uchawi hapo.
Ujue jogoo alitaka kumdonoa "jogoo" mwenzieAnadai Jogoo huyo wa ndotoni alijaribu kumdonoa na yeye aliamua kupambana nae kikamilifu kwa kumpiga kwa nguvu kubwa ndiyo maana amevunjika Mguu
Larenz Tate??You like badboys?Unaweza kuota unasukumiziwa moto na Larenz Tate,kumbe Jini kijicho wa Kilwa kivinje.
ExactlyAmerusha teke ukutani, hamna uchawi hapo.
I think he is so 'yummy'.Larenz Tate??You like badboys?
Hahahahaaaabora uote vyote ila sio unachilwa
....................Isije ikawa anatafuta kick tu maana haiyumkiniki,uote unapigana kisha uamke umeumia kweli?.....tena kupigana kwenyewe na kuku???
How!!!
Hivi huyu ndo Legend wa wabana pua hapa nchini au kuna mwingine?Amesema ndoto hiyo ya ajabu imemfanya avunjike mguu wake.
Mwanamuziki huyo Kiongozi wa bendi ya Talent amedai ndoto hiyo siyo ya kawaida kabisa na ameamua kumuachia Allah aliye mjuzi wa mambo yote.
Anadai Jogoo huyo wa ndotoni alijaribu kumdonoa na yeye aliamua kupambana nae kikamilifu kwa kumpiga kwa nguvu kubwa ndiyo maana amevunjika Mguu
View attachment 1624849View attachment 1624878View attachment 1624879View attachment 1624880View attachment 1624881View attachment 1624883
Njoo huku Mshana JrAmesema ndoto hiyo ya ajabu imemfanya avunjike mguu wake.
Mwanamuziki huyo Kiongozi wa bendi ya Talent amedai ndoto hiyo siyo ya kawaida kabisa na ameamua kumuachia Allah aliye mjuzi wa mambo yote.
Anadai Jogoo huyo wa ndotoni alijaribu kumdonoa na yeye aliamua kupambana nae kikamilifu kwa kumpiga kwa nguvu kubwa ndiyo maana amevunjika Mguu
View attachment 1624849View attachment 1624878View attachment 1624879View attachment 1624880View attachment 1624881View attachment 1624883