Mwanamuziki Mkongwe Nchini Hussein Jumbe Amevunjika Mguu Wake Baada ya Kuota Akipambana Na Jogoo

Imani za kiswahili zahusishwa

Yuko Band gani siku hizi alikuwa anahamahama sana kati ya Msondo na Mlimani
 
Unaweza kuota unasukumiziwa moto na Larenz Tate,kumbe Jini kijicho wa Kilwa kivinje.
 
Mimi juzi nilipiga ngumu ukutani baada ya kuhisi miccm imenivamia
 
Nimesoma sehemu alikuwa anampiga mateke huyo kuku.kumbe alikuwa anapiga ukuta..
Huyo regend haitaji Kiki.
....................Isije ikawa anatafuta kick tu maana haiyumkiniki,uote unapigana kisha uamke umeumia kweli?.....tena kupigana kwenyewe na kuku???

How!!!
 
Sometimes unachotamka na watu Kukufahamu kwa hicho kinaweza kikakutokea.... MZEE WA "Nachechemea" saiv kweli anachechemea
 
Hivi huyu ndo Legend wa wabana pua hapa nchini au kuna mwingine?
 
Njoo huku Mshana Jr
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…