Kwani wewe hujaota unapiga bao na ukiamka ni kweli boxer imelowa!....................Isije ikawa anatafuta kick tu maana haiyumkiniki,uote unapigana kisha uamke umeumia kweli?.....tena kupigana kwenyewe na kuku???
How!!!
Yaani sura imetepeta eti.Jumbe mkorogo umemkubali.
😂Yaani sura imetepeta eti.
Hahahaha unamaanisha Nini mkuuYaani chadema kwa kiki hamjambo kila siku mnataka kutrend tu.
We inaonekana hata ukijamba unailaumu sisiemu kimoyomoyoMimi juzi nilipiga ngumu ukutani baada ya kuhisi miccm imenivamia