Nilikuwa darasa la saba mwenzio! kumbe na wewe ni kinda!Marehemu Josky Kiambukuta alikuwa mwanamuziki hodari aliyeimba katika bendi ya Tp okk jazz ya marehemu Franco, alijiunga na band hiyo mwaka 1973.
Duh....nina miaka 3
Nyie wazee mnafuata nini hukuNimekupita miaka 4
Ni maumbile ya congoKinachoshangaza mimi, hivi kwanini hawa watu wenye mapua makubwa wanakipaji cha kuimba sana
Uzi wa wazee huuNyie wazee mnafuata nini huku
Mzee nakukubali kwa história ya rhumbaKuna watu wakifariki inabidi ku-celebrate maisha yao kwa urithi wanao acha nyuma. Commandant Josky ni mmoja wao. 1969 alikuwa na Dr. Nico halafu akaingia Continental Orchestra na 1973 rasmi akakaribishwa TP OK JAZZ ya Luambo na Lutumba. Huyu ndio sauti ya OK Jazz kwani ameshiriki kuimba nyimbo nyingi kuliko muimbaji yeyote wa TP OK JAZZ.
Anaimba kwa madaha sana na hupanda na kushuka. Lakini pia ni mtungaji nyimbo wa kiwango cha juu kabisa akiwafuatia Franco na Simaro kwa ubora na wingi wa tungo zake. Ameacha ngoma kama Chacun poir soi, Nostalgie (papa yoyo) na Bimasha ngoma ambazo zilikuwa zinamvuruga mzee mzima Franco akiwa kwa stage. Alikuwa karibu sana na Lutumba Simaro ambaye ndie alimleta TP OK JAZZ. Adios vieux Josky.
Cherie bondowe waimbaji ni boyibanda michel, wuta mayi, na josky Kiambukuta. Mayaula hakuwahi kuimba hata mara moja ndani ya ok jazz hiyo ilikuwa kazi ya josky na wsimbaji wengine.luambo makiadi said:Marehemu Mayaula Mayouni alikuwa na sauti nzuri mno,wimbo wake alioutunga akiwa na tp okk jazz 1980's WA CHERIE BONDOWE unanikosha sana.
Mama na Ngai !Cherie bondowe waimbaji ni boyibanda michel, wuta mayi, na josky Kiambukuta. Mayaula hakuwahi kuimba hata mara moja ndani ya ok jazz hiyo ilikuwa kazi ya josky na wsimbaji wengine.
Cherie bondowe waimbaji ni boyibanda michel, wuta mayi, na josky Kiambukuta. Mayaula hakuwahi kuimba hata mara moja ndani ya ok jazz hiyo ilikuwa kazi ya josky na wsimbaji wengine.
Mayaula ni mtunzi niliowataja hapo ni waimbaji wa hilo songi.Cherie Bondowe ni kazi ya Mayaula Mayoni
R.i.p LegendHabarini za usiku wakuu, kwa masikitiko mwanamuziki Josky Kiambukuta amefariki dunia mapema Leo huko Kinshasa.
Marehemu Josky Kiambukuta alikuwa mwanamuziki hodari aliyeimba katika bendi ya Tp okk jazz ya marehemu Franco, alijiunga na band hiyo mwaka 1973.
Nyimbo maarufu za marehemu Josky Kiambukuta Londi Ni Chandra, sincerite, ayez pitie n.k
Alizaliwa 14 February 1949
Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pepa peponi
Sehemu ya kazi yake:
Cc
Lucas Mobutu
Masiya
Naam ni mayaula mayoniCherie Bondowe ni kazi ya Mayaula Mayoni
Mzee masiya unanikosha mno na simuliziKuna watu wakifariki inabidi ku-celebrate maisha yao kwa urithi wanao acha nyuma. Commandant Josky ni mmoja wao. 1969 alikuwa na Dr. Nico halafu akaingia Continental Orchestra na 1973 rasmi akakaribishwa TP OK JAZZ ya Luambo na Lutumba. Huyu ndio sauti ya OK Jazz kwani ameshiriki kuimba nyimbo nyingi kuliko muimbaji yeyote wa TP OK JAZZ.
Anaimba kwa madaha sana na hupanda na kushuka. Lakini pia ni mtungaji nyimbo wa kiwango cha juu kabisa akiwafuatia Franco na Simaro kwa ubora na wingi wa tungo zake. Ameacha ngoma kama Chacun poir soi, Nostalgie (papa yoyo) na Bimasha ngoma ambazo zilikuwa zinamvuruga mzee mzima Franco akiwa kwa stage. Alikuwa karibu sana na Lutumba Simaro ambaye ndie alimleta TP OK JAZZ. Adios vieux Josky.