Cha ajabu kuna watu watajazana kusema sio korona wakati hakuna aliyesema ni korona.
Hakika kujilisha 23:59 kila siku ipitayo ni mtihani mkubwa sana. Hawa ni watu na CV zao.
Tangulia mkuu ukapumzike kwa amani tuko kwenye foleni twaja.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cha ajabu kuna watu watajazana kusema sio korona wakati hakuna aliyesema ni korona.
Kwani wewe umesemaje?Cha ajabu kuna watu watajazana kusema sio korona wakati hakuna aliyesema ni korona.
Boss amejiunga lini tena? maana mi najuaga ni mwana CCM yule,wakina Juma Nature,diamond,mpoto etc yaani inshort wakuda kibao wako huko.Oh maskin kumbe ndo huyu? Poleni kwa fam...alale pema peponi!
Ila mwanaFA kujiunga na ccm umenikwaza sana
Kwahiyo mnashangilia ushindi sio?Cha ajabu kuna watu watajazana kusema sio korona wakati hakuna aliyesema ni korona.
Hivi mbona wanaume sukari inatupiga sana kuliko nyinyi wanawake hebu dadavua kidogo Sky Eclat
Maisha yanabadilika mkuu hata wanawake era hii tuna mitihani mizito sana ! Wote tuna majukumu sawa mkuu!Majukumu tu
Huyo bwana aliwahi kuunguliwa na nyumba yake yote,wanaume tuna mitihani sana
Boss amejiunga lini tena? maana mi najuaga ni mwana CCM yule,wakina Juma Nature,diamond,mpoto etc yaani inshort wakuda kibao wako huko.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah aisee sikujua hata amesema atagombea ubunge,hapo tujiandae na alinselema.....Si ametomboka anagombea ubunge ccm? Yaani nimemchukia! Hii nchi ina Laana jamani!..kweli wasanii wengi ni ccm...njaa ni mbaya! Anywys wana uhuru wa kuamua wapi waende! Tunamwachia Mungu
Msanii usipokuwa CCM wana ku Roma Mkatoliki UnonioSi ametomboka anagombea ubunge ccm? Yaani nimemchukia! Hii nchi ina Laana jamani!..kweli wasanii wengi ni ccm...njaa ni mbaya! Anywys wana uhuru wa kuamua wapi waende! Tunamwachia Mungu
Sio kisukari tu hata covid 19 na magonjwa mengine mengi.Hivi mbona wanaume sukari inatupiga sana kuliko nyinyi wanawake hebu dadavua kidogo Sky Eclat