TANZIA Mwanamuziki mkongwe wa Soukous, Aurlus Mabele afariki dunia. Coronavirus yahusishwa


Mkuu mbona ni mwaka umepita sasa niliandika uzi kuhusu kuumwa kwake mpaka akakimbiwa na mke pia habari za kifo chake Uzi uliletwa.

Hamzipati taarifa kama hizi kutokana na kwamba hazisomwi na wengi hivo wewe ukija JF huzikuti kwenye News feed


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…