M-mbabe
JF-Expert Member
- Oct 29, 2009
- 13,203
- 23,027
yeah......Hata mimi nikifa kwa ngoma nitasingizia corona.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yeah......Hata mimi nikifa kwa ngoma nitasingizia corona.
Natembelea ile ile code ya "watu wakifa kwa ngoma watasingizia corona" ya mdau huko juu.Ukishakufa utawezaje kusingizia chanzo cha kifo chako?
In God we Trust
Mkuu, kuna hiyo albamu ya MISS SOUKOUS, naona wengi hawaitaji, wapo na EVERINA, EVERINA tu! Kwangu mimi, albamu hiyo, pamoja na GENERATION WACHIWA, ndio kilele cha UBORA wake!my Fav album Miss Soukuss, favorite musics aveline Stop alteze na Haleluya hapo Radio Cassette aina ya LASONIC ikiwa connected na Betry ya YUASA volt 12.Ikitumbuiza uchezi mbali na kalamu ya BIC kuzungusha tape upate side B R.I.P Aurus Mabelle
MISS SOUKOUS aichujiMkuu, kuna hiyo albamu ya MISS SOUKOUS, naona wengi hawaitaji, wapo na EVERINA, EVERINA tu! Kwangu mimi, albamu hiyo, pamoja na GENERATION WACHIWA, ndio kilele cha UBORA wake!
Hebu muone hapa kwenye MA PRIERE ya MISS SOUKOUS
Sent using Jamii Forums mobile app
What the Fvck is wrong with you moron....Hili lijamaa kila sehemu uingiza siasa
In God we Trust
.Hatuja kuuliza wewe piga kimya
In God we Trust
Hujui hata ulichoandika..kuna mahali nimesema "kuna tatizo"??
What the Fvck is wrong with you moron....
Kuna mahali nimeongea siasa hapo?
Kuuliza kama kuna tatizo mtu akifa kwa ngoma kuna siasa gani hapo? Wewe ndiye mtumwa wa siasa, ukiona coment yangu yoyote unawaza siasa...
upgrade yourself mentally....bado uko chini sana kimawazo...
Hujui hata ulichoandika..
kipi?Hujui hata ulichoandika..
Una akili fupi sana...tusi liko wapi hapo? What the fvck sio tusi ni expression. Au tusi lipi umeliona hapo?We ni mshamba sana. Ukiona mtu anakimbilia matusi ujue ni kinanda tu kama wewe
In God we Trust
Hujui hata tusi ni nini. Hii inaelezea uwezo wako wa kichwani.We ni mshamba fulani tu kazi yako kutukana matusi tu
In God we Trust
Hujui hata tusi ni nini. Hii inaelezea uwezo wako wa kichwani.
Una akili fupi sana...tusi liko wapi hapo? What the fvck sio tusi ni expression. Au tusi lipi umeliona hapo?
Hakika mkuu sisi tunao zifahamu hizo nyimbo enzi zetu ndiyo tumeumia sana.
In God we Trust