The Humble Dreamer
JF-Expert Member
- Oct 12, 2015
- 7,574
- 10,598
Kibao lilikuwa na bado kipo murua sana
Dally Kimoko noma ktk ile album.Kuna nyimbo yake moja inaitwa Stop arretez humo limepigwa gitaa na dally kimoko hatari.
HahahhahaU mkongwe nawe.. [emoji23] [emoji23]
Njoo tufunge ndoa ya ustafu..
Sent using Jamii Forums mobile app
Dally Kimoko noma ktk ile album.
Sent from my Redmi Note 7 using Tapatalk
Tukome kukimbia nchi zetu; angekuwa Congo angekunywa Mwarobaini au dawa nyingine za magamba ya mitiKwa wahenga naamini mtakuwa mnamkumbuka Aurlus Mabele mwanamziki mahiri wa kongo Brazzaville [emoji1077].
Leo hii 20-02-2020 amefariki akiwa huko nchini Ufaransa akiwa na umri wa miaka 67.Amekuwa akiugua kwa kipindi kirefu ugonjwa wa kupooza na corona imemkuta akiwa bado yu mgonjwa hivyo kuondoa kirahisi nguri huyo wa soukous.
In God we Trust