TANZIA Mwanamuziki mkongwe wa Soukous, Aurlus Mabele afariki dunia. Coronavirus yahusishwa

TANZIA Mwanamuziki mkongwe wa Soukous, Aurlus Mabele afariki dunia. Coronavirus yahusishwa

Kwa wahenga naamini mtakuwa mnamkumbuka Aurlus Mabele mwanamziki mahiri wa kongo Brazzaville [emoji1077].

Leo hii 20-02-2020 amefariki akiwa huko nchini Ufaransa akiwa na umri wa miaka 67.Amekuwa akiugua kwa kipindi kirefu ugonjwa wa kupooza na corona imemkuta akiwa bado yu mgonjwa hivyo kuondoa kirahisi nguri huyo wa soukous.

In God we Trust

Let him R.I.P.
Amen.
 
He deserve to be termed as legend of soukos in Africa....aliweza kuutanga muziki wa africa duniani kipindi ambacho hamna social media...na africa na dunia nzima inamjua.....
 
Anafutaje wakati kuna chanzo? Source ya hii taarifa ni RADIO JAMBO YA KENYA leo hii asubuhi

In God we Trust
Kuwa na chanzo haimaanishi kama habari ina ukweli, ndio maana nikasema kama mdau anachosema ni cha ukweli kwamba sio ukweli basi huu ni upotoshaji (si busara kueneza uongo sababu tu una chanzo)
 
Hiyo habari ni kwa mujibu wa kituo cha radio Jambo nchini Kenya [emoji1139] leo asubuhi

In God we Trust


Shida yangu sio chanzo cha habari la hasha.
Ikiwa huyu mtu tayari alikua kwenye matibabu ya maradhi mengine na corona ikaingilia kati akafariki, kuhitimisha kwamba kilichomuua ni Corona pekee inahitaji utafiti na uchunguzi yakinifu wa kitabibu, lakini kwa hali ya kawaida hauwezi kusema corona imemuondoa.
 
Hakika huyu jamaa alitimiza kazi yake ipasavyo
He deserve to be termed as legend of soukos in Africa....aliweza kuutanga muziki wa africa duniani kipindi ambacho hamna social media...na africa na dunia nzima inamjua.....

In God we Trust
 
Hakika huyu jamaa alitimiza kazi yake ipasavyo

In God we Trust
Huyu mzeee na Wanasoukous wenzake akina Daly Kimoko, Ballou Canta, Shimita, Diblo Diballa nk walikuwa wanafanya nasahau kabisa Ugumu wa maisha ya sasa pindi nikiskiliza nyimbo zao lkn sasa kwa huu msiba nimeumia mnooo. Pumzika kwa amani Mzee wetu.
 
Huyu mzeee na Wanasoukous wenzake akina Daly Kimoko, Ballou Canta, Shimita, Diblo Diballa nk walikuwa wanafanya nasahau kabisa Ugumu wa maisha ya sasa pindi nikiskiliza nyimbo zao lkn sasa kwa huu msiba nimeumia mnooo. Pumzika kwa amani Mzee wetu.
Hakika mkuu sisi tunao zifahamu hizo nyimbo enzi zetu ndiyo tumeumia sana.

In God we Trust
 
R.I.P

ˡ ˡⁱᵏᵉ ᵇⁱᵍ⁻ᵗⁱᵗᵗʸ ʷᵒᵐᵃⁿ [emoji377]
 
Screenshot_20200320-121517.png
Screenshot_20200320-121422.png
 
R.I.P legend tutaendelea kusikiliza hekima zako bar, asikwambie mtu majimbo ya kikongo na monde kama simba na nyama. Lokasa ya mbongo tuli mondeee
 
Back
Top Bottom