Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Sasa hapo unabisha kitu gani maana sujakuelewa
In God we Trust
Lakini ugonjwa mkubwa ni stroke, corona kapata juzi.
In God we Trust
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini ugonjwa mkubwa ni stroke, corona kapata juzi.
Angesema magonjwa yote yaliyomuondoa sio corona ndiyo iwe heading .....Sasa hapo unabisha kitu gani maana sujakuelewa
In God we Trust
R.I.P legend tutaendelea kusikiliza hekima zako bar, asikwambie mtu majimbo ya kikongo na monde kama simba na nyama. Lokasa ya mbongo tuli mondeee
Angesema magonjwa yote yaliyomuondoa sio corona ndiyo iwe heading .....
Ni corona na kiharusi. Ila alikua na kiharusi kwanza, corona ikammalizia!Nimesikia ni kansa ya koo..RIP
Bila shaka mkuu ntafika hapo niyafaidi masoukousUkitaka ufahidi hayo mambo fika kisuma magomeni kuanzia saa 11 jioni
In God we Trust
Bila shaka mkuu ntafika hapo niyafaidi masoukous
RIP mwamba wa Soukus!
Dah!
madini ya enzi hizo mwendo wa kuzungusha kanda na peni na kubadili side A na side B.
Kumbe nawewe unazijua jua mkuu
Enz za shule za boarding pia,Kumbe nawewe unazijua jua mkuu
Rest in peace......tuliokulia kijijini na disco vumbi lilinoga sana
Nikweli kabisa mkuuEnz za shule za boarding pia,