TANZIA Mwanamuziki mkongwe wa Soukous, Aurlus Mabele afariki dunia. Coronavirus yahusishwa

TANZIA Mwanamuziki mkongwe wa Soukous, Aurlus Mabele afariki dunia. Coronavirus yahusishwa

Hakika tumeondokewa na nguri wa muziki wetu wa kiafrika haswa
RIP
Muziki wako tuliucheza tuliupenda siku hizi tumebakiwa na mangelengele ni vurugu tu
*** Alikuwa amepooza kwa kipindi kirefu
Corona itatumaliza ni hatari zaidi kuliko tunavyoambiwa na akina ummy na bashite (hawajui moja wala mbili)
Mungu atunusuru

In God we Trust
 
Enz hizo maisha Raha tupu shida tupa kule,uwazi kodi,ada,boom mwisho wa mwezi sijui ccm, chadema.majukumu.
 

Mwanamuziki mgongwe wa DRC, Aurlus Mabele maarufu kama Mfalme wa Sokous amefariki dunia saa chache zilizopita jijini Paris nchini Ufaransa, huku kukiwa na taarifa kuwa huenda kifo chake kimesababishwa na virusi vya corona (Covid-19).

Mwanamuziki huyo ambaye taarifa zilizothibitishwa na familia yake zimeeleza kuwa alikuwa anasumbuliwa na tatizo la saratani ya koo kwa muda mrefu, alifariki jana, Machi 19, 2020 akiwa na umri wa miaka 67.

Mabele ndiye mwanzilishi wa kundi la Loketo lililoanza kutamba tangu miaka ya 1980, kundi ambalo lilifanya vizuri huku nyimbo zao zikivuka mipaka ya Afrika kwa kasi.


Mwandishi maarufu aliyekuwa nchini Ufaransa, Robert Brazza alithibitisha kifo cha mwanamuziki huyo na kutoa salamu zake za rambirambi.

“Hello mjomba Aurlus, hakika sitasahau ushauri wako, ulisema ‘Kuwa salama mdogo wangu na furahia’. Majonzi yangu ni makubwa usiku huu lakini heshima yangu kwako ni kubwa zaidi. Ulikuwa furaha, ulikuwa mwema. Daima. Nenda kwa amani Aurlus Mabelle. Ninafahamu shangazi Nzambi ameshakukaribisha tayari kwenye rehema,” aliandika katika Facebook.

Taarifa kuwa huenda amefariki kutokana na virusi vya corona zimekuja wakati ambapo Ufaransa imeshuhudia vifo vya watu 371 kutokana na virusi hivyo. Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Wakala wa Afya nchini humo, visa vya corona vimeongezeka hadi 10,995 kutoka 9,134, ikiwa ni ongezeko la 20% ndani ya saa 24.

BAADHI YA VIBAO VYAKE NA ALIVYOSHIRIKI:







Huyu anatokea Congo Brazzavile,ingawa maisha yake mengi yalikua pale Kinshasa,Congo DR.
Aliwahi kuugua ugonjwa wa Kiharusi enzi fulani.
R.I.P

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mabele alikuwa Na pumzi mwanzo mwisho kama luck dube.Ngoma inachanganya toka mwanzo mwisho,tofauti na sebene yenyewe inachanganyia kati au mwisho
 
Kwa wahenga naamini mtakuwa mnamkumbuka Aurlus Mabele mwanamziki mahiri wa kongo Brazzaville [emoji1077].

Leo hii 20-02-2020 amefariki akiwa huko nchini Ufaransa akiwa na umri wa miaka 67.Amekuwa akiugua kwa kipindi kirefu ugonjwa wa kupooza na corona imemkuta akiwa bado yu mgonjwa hivyo kuondoa kirahisi nguri huyo wa soukous.

In God we Trust
mbona simjui huyu,alikuwa maarufu kipindi gani??,cha nyerere au mkapa??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
R.I.P

Mwanamuziki mgongwe wa DRC, Aurlus Mabele maarufu kama Mfalme wa Sokous amefariki dunia saa chache zilizopita jijini Paris nchini Ufaransa, huku kukiwa na taarifa kuwa huenda kifo chake kimesababishwa na virusi vya corona (Covid-19).

Mwanamuziki huyo ambaye taarifa zilizothibitishwa na familia yake zimeeleza kuwa alikuwa anasumbuliwa na tatizo la saratani ya koo kwa muda mrefu, alifariki jana, Machi 19, 2020 akiwa na umri wa miaka 67.

Mabele ndiye mwanzilishi wa kundi la Loketo lililoanza kutamba tangu miaka ya 1980, kundi ambalo lilifanya vizuri huku nyimbo zao zikivuka mipaka ya Afrika kwa kasi.


Mwandishi maarufu aliyekuwa nchini Ufaransa, Robert Brazza alithibitisha kifo cha mwanamuziki huyo na kutoa salamu zake za rambirambi.

“Hello mjomba Aurlus, hakika sitasahau ushauri wako, ulisema ‘Kuwa salama mdogo wangu na furahia’. Majonzi yangu ni makubwa usiku huu lakini heshima yangu kwako ni kubwa zaidi. Ulikuwa furaha, ulikuwa mwema. Daima. Nenda kwa amani Aurlus Mabelle. Ninafahamu shangazi Nzambi ameshakukaribisha tayari kwenye rehema,” aliandika katika Facebook.

Taarifa kuwa huenda amefariki kutokana na virusi vya corona zimekuja wakati ambapo Ufaransa imeshuhudia vifo vya watu 371 kutokana na virusi hivyo. Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Wakala wa Afya nchini humo, visa vya corona vimeongezeka hadi 10,995 kutoka 9,134, ikiwa ni ongezeko la 20% ndani ya saa 24.

BAADHI YA VIBAO VYAKE NA ALIVYOSHIRIKI:









Sent using Jamii Forums mobile app
 

Mwanamuziki mgongwe wa DRC, Aurlus Mabele maarufu kama Mfalme wa Sokous amefariki dunia saa chache zilizopita jijini Paris nchini Ufaransa, huku kukiwa na taarifa kuwa huenda kifo chake kimesababishwa na virusi vya corona (Covid-19).

Mwanamuziki huyo ambaye taarifa zilizothibitishwa na familia yake zimeeleza kuwa alikuwa anasumbuliwa na tatizo la saratani ya koo kwa muda mrefu, alifariki jana, Machi 19, 2020 akiwa na umri wa miaka 67.

Mabele ndiye mwanzilishi wa kundi la Loketo lililoanza kutamba tangu miaka ya 1980, kundi ambalo lilifanya vizuri huku nyimbo zao zikivuka mipaka ya Afrika kwa kasi.


Mwandishi maarufu aliyekuwa nchini Ufaransa, Robert Brazza alithibitisha kifo cha mwanamuziki huyo na kutoa salamu zake za rambirambi.

“Hello mjomba Aurlus, hakika sitasahau ushauri wako, ulisema ‘Kuwa salama mdogo wangu na furahia’. Majonzi yangu ni makubwa usiku huu lakini heshima yangu kwako ni kubwa zaidi. Ulikuwa furaha, ulikuwa mwema. Daima. Nenda kwa amani Aurlus Mabelle. Ninafahamu shangazi Nzambi ameshakukaribisha tayari kwenye rehema,” aliandika katika Facebook.

Taarifa kuwa huenda amefariki kutokana na virusi vya corona zimekuja wakati ambapo Ufaransa imeshuhudia vifo vya watu 371 kutokana na virusi hivyo. Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Wakala wa Afya nchini humo, visa vya corona vimeongezeka hadi 10,995 kutoka 9,134, ikiwa ni ongezeko la 20% ndani ya saa 24.

BAADHI YA VIBAO VYAKE NA ALIVYOSHIRIKI:









Sasa kama ingekuwa ile kazi ya unenguaji inasaidiaga huko akhera basi angeendelea kula raha. Lakini ni huruma ttuu maskin atachapika milele
 
Dah inauma Sana nadhani sisi mabaharia Sasa inabidi tuanze kuweka Mambo sawa safari inawiva,alianza Pepe kale roho iktuuma wewe akafata King Lester emeneya mzee wa kidekule Mara Tabu key mzee wa maze Mara Tena Papa wemba mara na Sasa Aurus mabele mzee wa evelina haki Sasa tumezeeka na tunaitaji kuwaachia husia watoto wetu na wadogo zetu wazee wa bongo fleva(ikiwa unazeeka ujijui kwa kweli Bali utakuwa unashangaa unapewa shikamoo na watu wengine unawaona Kama unalingana nao)ngoja Michele tu kimoyo moyo ""usinione nikicheka ukadhani Nina furaha kumbe Nina uzuni moyoni[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Afadhali umenisaidia kwa hilo maana kuna baadhi ya wana jf wabishi kama nini wanasistiza ni mzaliwa wa DR
Huyu anatokea Congo Brazzavile,ingawa maisha yake mengi yalikua pale Kinshasa,Congo DR.
Aliwahi kuugua ugonjwa wa Kiharusi enzi fulani.
R.I.P

Sent using Jamii Forums mobile app

In God we Trust
 
Back
Top Bottom