Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sure those niggs wana accent ngumu mbaya...kuna mwamba huwa ana joke those niggs waki-trace their ancestry itakua ancestors wao walitokea chuga. Wana lafudhi wamarekani wenzao hawawaelewi kabisa. Ni mind you hii accent exclusively understood na niggs, hata whites wa AL wanatoka kapa.
Noo man yake ni ile album yake ya Masharl Mother ya M&M wengi walipenda kumuita M&M ndo ikazaliwa jina Eminem ...iyo tafsiri apo juu ni utani tuEminem
E- every
M- mother
I- is
N- nice
E- except
M- mine
Huyu jina lake halisi anaitwa Marshall Mathers ( kama kuna spelling nimekosea niko tayari kurekebishwa)
Sasa hilo jina la marshall mathers alikua analifupisha kwa kujiita M&M (m and m) watu wakawa wanalitamka eminem
Sasa huyu rapper alikua hapendi race yake alitamani kuwa black ndio mana akaja kumdiss mama yake kwanini alimzaa akiwa mzungu
Wapi licha nguwa mbna sifimpo tu mama'ke..temeka tukutichi areefHata mimi sielewi kiswahili cha watu wa Arusha
Me naonaga lafudhi ya manigga ni tofauti sana na wazungu ...manniga wanaongea kwa kuminya maneno sana afu kama awataki vile ..ila wazungu wanabonga streiti kabisa Sema wanaunganisha sana..Sure those niggs wana accent ngumu mbaya...kuna mwamba huwa ana joke those niggs waki-trace their ancestry itakua ancestors wao walitokea chuga. Wana lafudhi wamarekani wenzao hawawaelewi kabisa. Ni mind you hii accent exclusively understood na niggs, hata whites wa AL wanatoka kapa.
Hahahaaa kumbe kizungu ni tatizo kwa wengi,kama uliusikiliza huo wimbo wa am sorry mama(cleaning out my closet) pale ungesikia mashairi ambayo yalikuwa yakimdhalilisha zaidi mama yake na akiendelea kumtuhumu huyo mama kuwa hampendi,anamwambia " Remember when the heil is dead you said you wish it was me,guess what iam dead! Dead for you as it can be" pia kina sehemu anamwambia mama yake "do your song,say that you are a wrong bitch" huyu jamaa ni laana man.Alishawahi kumtukana mama yake kwanini alimzaa mzungu
Halafu akaja kuomba msamaha sikiliza ngoma yake ya I'm sorry mama
kweli kabisa
To be honest sio mfatiliaji sana wa mziki wa eminemHahahaaa kumbe kizungu ni tatizo kwa wengi,kama uliusikiliza huo wimbo wa am sorry mama(cleaning out my closet) pale ungesikia mashairi ambayo yalikuwa yakimdhalilisha zaidi mama yake na akiendelea kumtuhumu huyo mama kuwa hampendi,anamwambia " Remember when the heil is dead you said you wish it was me,guess what iam dead! Dead for you as it can be" pia kina sehemu anamwambia mama yake "do your song,say that you are a wrong bitch" huyu jamaa ni laana man.
Huyo ni Marshall Mathers ambayo ni double M ambayo imekuwa MAnd M kwa kwa kifupi M'n'M ikawa stylized to Eminem kutokana na kucheza na pronunciation. Ingawa ni kweli alikuwa na matatizo na bi mkubwa wake.
Unanikumbusha waswahili wa Louisiana. Yaani kama wabongo vile.Aisee mkuu jambo usilolijua ni kwamba Eudoxie Mbouguiengue ambae ni mke wa ndoa wa Luda ni mtu wa Gabon hapo hakijaaribika kitu apo Luda anawalinda tu watoto na familia yake ila LUDACRISS HAWEZ KUKAA GABON NAKWAMBIA, culture hazifanani, to add insult to injury watu wa ATL na ST LOUIS, wana utamadumi tofauti sana aisee huwa hata nashangaa LUDA yupo tofauti nao kidogo, hata accent yao ni ya tofauti sana ila Luda haongei kama wao, mfano wa watu wa huko ni type za kina rich the kid, aisee wanaongea accent ya ajabu sana yan hata mmarekani anaweza asielewe..
Sent from my iPhone using JamiiForums
Bado Floyd Myweather jr tunamsubiri arudi nyumbani Tanzania kumenogaNi jambo la kishujaa alilolifanya na limewashida wengi.
Ludacris kupitia ukurasa wake wa instagram, amepost video akiwa kashikilia passport ya Gabon kwenye video ameandika maneno akionesha kwamba amepata uraia wa nchi mbili yani Gabon na America.
Hongera kwake nadhani amejitofautisha na black Americans wengine wasiopenda kujua lolote kuhusu Africa.
Wafaransa walishawahi miliki jimbo la Louisiana, hiyo St. Louis ni mji jimboni Missouri.
Eminem lilitokanana kifupisho cha majina yakeAisee! Kumbe lina maana hilo jina lake,
Unanikumbusha waswahili wa Louisiana. Yaani kama wabongo vile.