Mwanamuziki Nash MC ana VVU

Mwanamuziki Nash MC ana VVU

King Kong III

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2010
Posts
56,205
Reaction score
79,515
Mwanamuziki machachari ambaye aliuza nyago sana kwenye kipindi cha daladala(kipindi cha daniel kijo na bi kiroboto) na pia anauza nyago kwenye Mini-Buzz Toa Hoojaa,Ameachia wimbo wake unaitwa VVU,moja ya mistari akisema "niite nashy mc msanii mwenye VVU,yani Vina Vikali Usipime!
 
nimefungua fasta kumbe ndiyo ivo,inanikumbuka gazeti la alasiri,kuna siku waliandika kichwa cha habari kikubwa OSAMA ASHIKWA,nikanunua kusoma ndani kumbe osama kashikwa mkono na msaidiz wake alikuwa anamsalimia naye alikuwa wanted kipind icho marekan wameivaa afghanstan kumsaka,
 
nimefungua fasta kumbe ndiyo ivo,inanikumbuka gazeti la alasiri,kuna siku waliandika kichwa cha habari kikubwa OSAMA ASHIKWA,nikanunua kusoma ndani kumbe osama kashikwa mkono na msaidiz wake alikuwa anamsalimia naye alikuwa wanted kipind icho marekan wameivaa afghanstan kumsaka,

Don't Judge a book by its cover ulipaswa usome content ndio uconclude kashikwa kivipi? Alasiri hawana makosa.
 
Duh! wewe kiboko, nilivyofungua hii thread kwa fujo, nilichokutana nacho sasa lol!

Mwanamuziki machachari ambaye aliuza nyago sana kwenye kipindi cha daladala(kipindi cha daniel kijo na bi kiroboto) na pia anauza nyago kwenye Mini-Buzz Toa Hoojaa,Ameachia wimbo wake unaitwa VVU,moja ya mistari akisema "niite nashy mc msanii mwenye VVU,yani Vina Vikali Usipime!
 
Duh! wewe kiboko, nilivyofungua hii thread kwa fujo, nilichokutana nacho sasa lol!

Kwani umekutana na kitu tofauti? Nadhani heading na contents vinaendana,maana Nashy MC ni msanii pekee mwenye VVU.
 
Kwani umekutana na kitu tofauti? Nadhani heading na contents vinaendana,maana Nashy MC ni msanii pekee mwenye VVU.

unajua kirefu cha THT ni Tanzania Hiphop Tunauza hiyo kwenye nyimbo ya vita

osters nash juma na mistari karibu kilingeni msasani club kila jumamosi kuanzia saa nane ukakutane na tamaduni music ha ha ha ZIMAAA
 
unajua kirefu cha THT ni Tanzania Hiphop Tunauza hiyo kwenye nyimbo ya vita

osters nash juma na mistari karibu kilingeni msasani club kila jumamosi kuanzia saa nane ukakutane na tamaduni music ha ha ha ZIMAAA

Ok nikija dsm ntakaribia hapo kilingeni hahaa yes hiphop inauza nshakuja hapo nikakutana na songa pamoja na nikki mbishi tatizo wacongo wengi sana hapo kilingeni.
 
Nash Mc - Mzimu wa Shaban robert


1.Mzimu wa Shaban Robert
2.Temeke
3.Tunaizindua mitaa
4.Maalim
5.Mapendo
6.Mbinu za Lugha
7.Uzoefu
8.Homa imenizidia
9.Mchawi ndugu
10.Mkongwe
11.VVU
12.Umande
13.Vita
14.Wanajaribu game
15.Kwako Nacn mc
16.Majinuni nash
17.Mkali kwenye game
18.Mitihani

darhotwire

MITIHANI hiingoma ni hatari
 
Back
Top Bottom