King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Mwanamuziki machachari ambaye aliuza nyago sana kwenye kipindi cha daladala(kipindi cha daniel kijo na bi kiroboto) na pia anauza nyago kwenye Mini-Buzz Toa Hoojaa,Ameachia wimbo wake unaitwa VVU,moja ya mistari akisema "niite nashy mc msanii mwenye VVU,yani Vina Vikali Usipime!