No am serious sielewi kweliiusiniambie leo unajifanya kichwa ngumu haha
Kenya
si nilikuita mchana ukagoma?No am serious sielewi kwelii
Wapiiisi nilikuita mchana ukagoma?
kwenye uzi uleWapiii
Upikwenye uzi ule
Nipo bossBest upogoo?
Nimeshajibu,what next?Kwahiyo Wema kuhonga kawaida yake or??
Hivi kuna mwanamke dunia hii anapenda kitu chake kiliwe hivi hivi???
akikujibu niite
Mwanamboka [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]πππππππππππ huyo itakua ni wale vijana wa kile chama cha pale kinondoni kilichopo mtaaa wa jina la kabila moja la kule nyanda za juu kusini ....... ukute anakaa kwa shemeji yake ππ
Teja yupiMbona ni kawaida ya wema,alipokua na kanumba alikua anamhonga vitu yule teja wake,mpaka ikafikia kanumba akamchoka wakatibuana na kesi juu mahakamani.
Nani kakwambia huku hakuna vitengo maalum kama hivyo vya tiba ya afya ya akili?. Hii ni Tanzania mpya kama unabeba box umeachwa mbali na maisha halisi ya huku nyumbani.............. samahani sana mkuu ila hakuna namna ila kujibu kwa lugha hiiWenzetu kila kitu kina daktari wake...!!!huku kwetu shida tupu
Aisee!Tangia nilivyo mpiga chini naona akili yake haipo stable
Selena hanaga bahati na mapenzi...mdada mzuri lkn wanaume wanambwaga kama hawana akili nzuri!..JB anaenda kuoa kituko eti lazima adate!