Mocumentary
JF-Expert Member
- Jul 31, 2017
- 806
- 2,049
R.i.p Queen of mutuashi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakongwe ndio tupo hapApumzike kwa amani, alituburudisha sana sisi wakongwe.
Wacongo wanaomboleza kifo cha mwimbaji mashuhuri Tshala Muana. Muana alifariki dunia leo Jumamosi asubuhi, Desemba, 10. Kulingana na vyanzo vya habari vya Congo, Muana alifariki mjini Kinshasa. Amefariki akiwa na umri wa miaka 64.
Pia soma -> Historia ya Tshala Muana
Mume wa Tshala, Claude Mashala alithibitisha kifo chake katika chapisho la Facebook. ""In the early hours of this morning, the good Lord made the decision to take over the national Mamu Tshala Muana. May the good God be glorified for all the good times she has given us on this earth. Farewell Mamu from m," he posted..
Mashala hakutoa maelezo kuhusu chanzo cha kifo cha Mkewe. Marehemu Muana anajulikana kwa nyimbo kadhaa zilizovuma katika bara zima. Wimbo wake wa Karibu Yangu ni moja ya nyimbo maarufu ambazo zimemfanya avutiwe kote ulimwenguni.
View attachment 2441700View attachment 2441701
BAADHI YA NYIMBO ZAKE MAARUFU
Fafanua.HAKUWA MTU MZURI.
R I PChee cheee chee
Unapenda dezodezo
Kodi ya nyumba hulipii
Wewe mtoto wa kike acha umbeambea[emoji4]
Rip tshala
Mzee Makamba ameshasema watu Wema Hawafi.Fafanua.