TANZIA Mwanamuziki Tshala Muana hatunaye tena

Kusema ukweli hizo nyimbo huwa nazisikiaga ila sikuwah kumjua mwimbaji wake hata kwa sura..
Nyimbo zake zilikuwa nzuri sana.
Mbele yake nyuma yetu..Amin🤲
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…