pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,350
[emoji1][emoji1][emoji1] Si mnajionea wenyewe? Kejeof, ulibadilisha jina ukajiita Naby Keita lakini pumba ni zile zile tu za kikejeof kejeof. Sitawezana nazo hizi, acha niondoke tu.Tulieni nyie kuku mkishakuja bandani mnakituliza kama vile mnanyonyolewa manyoya ya kusini
Kwani nimeanza leo sie huku wa muda tu majina kubadili ni sekunde tu kwani una shida?? Narudia tena nyie makuku tu humu tulieni mpigwe maji mnyonyolewe[emoji1][emoji1][emoji1] Si mnajionea wenyewe? Kejeof, ulibadilisha jina ukajiita Naby Keita lakini pumba ni zile zile za kikejeof kejeof tu. Sitawezana nazo hizi, acha niondoke tu.
sawa kaka yake housemaid... ila mwambie dada yako aache uchafu. awe anaoga vizuri.Saanaa! Muda si mrefu wataanza kuitana sufuria, sahani na vijiko. [emoji1] Hapa kwenye jukwaa hili watu wakitupiana vijembe huwa wanaifanya kwa njia 'intelligent', sio hizi sarakasi za ajabu ajabu tunazoziona hapa.
Tulia we Jeni kawowowo mimi I dont cater wadada wa koinangeNilijua kadada angeitisha backup. Hawezani na Mimi. Ndio maana akaita gwiji wa matusi na ni wewe Snappy cater
Roho ya korosho siyo?😉Wanaroho mbaya km rangi zao
Usisahau they use 1% of their brainsSaanaa! Muda si mrefu wataanza kuitana sufuria, sahani na vijiko. [emoji1] Hapa kwenye jukwaa hili watu wakitupiana vijembe huwa wanaifanya kwa njia 'intelligent', sio hizi sarakasi za ajabu ajabu tunazoziona hapa.
Mutumia murogi
Leta chupi zakoLol. Ushamaliza kufua?
Kwahio ikifufuka unapata pesa kiasi ganiNilisema nisipikomenti kwa hii thread inakufa.you c
Unasaka buzi wewe wa huko hawakutoshelezi? Unanishangaa mm kua humu badala ya ww kujishangaa kushinda kwenye mageto ya watu kila sikuSi hata wewe umefufuka.Nimeshangaavvile umejibu haraka hiyo comment ya kwanza.I thought you were not around