TANZIA Mwanamuziki Waziri Sonyo afariki dunia

TANZIA Mwanamuziki Waziri Sonyo afariki dunia

Huwa ninahisi na najiuliza hivi misiba ndio inayokupa hela? Au biashara unayofanya inahusika na misiba? Mfano, biashara ya majeneza, misalaba ya makaburi, granite za makaburini, maua ya msibani, mabasi ya msibani, magari ya kubeba majeneza,n.k. Maana yaani vifo kwako wewe fresh tu maana unaingiza hela ndefu. Ila daah basi tu!
Umemuelewa lakini au ndo kulia lia FC!?
 
Basi mijitu itaanza, ooh, tuchukue tahadhari, ni mwaka upi watu hawakufa?
Kwa akili yako itabidi tufunge hata hospitali tukae tu tusubiri kifo maana kifo kipo hata tukichukua tahadhari ama tukijitibu bado tutakufa, hospitali za nini kama tutakufa.

Hii nchi ina safari ndefu sana kufikia maendeleo, upumbavu bado umetawala sana nchi hii.
 
... kwa mwili huo! Ngumu sana. RIP.
 
sikosagi mkuu nyimbo za zomboko nilivyo kuwa mdogo wazazi na mabro walikuwa wakizisikiliza nilikuwa sizipendi,
Nashangaa nimeanza kuzipenda kipindi hiki kinoma,,,,sijui nimekuwa mzee?
ULIVYOKUWA MDOGO ULIKUWA UELEWI KITU! 😷
 
Huo mpira uliishaje? Labda timu yake haikufanya vizuri.
Nakumbuka huyu dogo alipokua na Komba na Banza stone walivyokua wanajitutumua kujilinganisha na African stars miaka Ile ya 2002 2006 lkn African stars walikua wamewaacha TOT kwa mbaali sana.
Wewe huna umri wa kumuita Marehemu dogo, watu wote mnaoandika maneno kama "lkn", "miaka ya" hamjazidi miaka 30. Sonyo na baba yako wapo sawa.
 
View attachment 1710373

Mwanamuziki aliyewahi kuimba kwenye bendi ya Chuchu sound na TOT Plus, Waziri Sonyo ameaga dunia jana tarehe 23 Februari saa moja usiku maeneo ya Kibaha.

Chanzo cha kifo hakijawekwa wazi ingawa kuna taarifa kuwa alikwenda kutazama mechi ya mpira wa miguu na aliporudi alijipumzisha hadi mauti yalipomkuta

View attachment 1710374

Taarifa nimezipata katika kipindi cha afro tizi cha Rajabu Zomboko radio one, usiku huu
Inna lillah wa inna ilahyi rajiun
 
Back
Top Bottom