Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi mijitu itaanza, ooh tusichukue tahadhari, ooh ni mwaka upi watu hawakufa? Hii hata kama viashiria vyote vinaonyesha zama hizi si zile.Basi mijitu itaanza, ooh, tuchukue tahadhari, ni mwaka upi watu hawakufa?
Hivi Mtaji wa masikini aliutunga yeye?Mkuu ile TOT ya banza stone na albamj yake ya elimu ya mjinga ni majungu ilikuwa ni kiboko, african stars walikuwa wanatafuta pa kuhemea, baada ya banza kusepa ndio twanga wakaanza kutamba tena..
African stars walitoa ngoma nzuri ila sio kali kama za tot ya banza, yule jamaa alikuwa ni mwalimj wa walimu.. Noma sana kile kiumbe.
Hawa wandengereko bana wazaramo hatuna majina hayaWote Ni wazaramo ma born town wa hapa jijiji
Haa ha ha, nimekuelewa mkuu but rudia tena, jamaa kazungunzia habari za Uzalamo wao mi ndio nikaandika vile, but i do appreciate hasa hapo uliposema "be careful"Be careful when you write because it will remain on record.
Mwenzio kauliza Miss Zomboko na yule Zomboko anayechambua mambo ya muziki wa dance
Hahaha wewe utakuwa umezaliwa 2008.R I P
BONGO Kuna wasanii sijawahi msikia hata jina kabla
sikosagi mkuu nyimbo za zomboko nilivyo kuwa mdogo wazazi na mabro walikuwa wakizisikiliza nilikuwa sizipendi,
Nashangaa nimeanza kuzipenda kipindi hiki kinoma,,,,sijui nimekuwa mzee?
kitonsa alikuwa mhuni maarufu kariakoo ,sina husiano naye ,ila masela walinipa kumwakilisha mselaMkuu kitonsa nimecheka sana, hata Mimi oldies nilikuwa zisipendi sana, but nowadays nazikubali sana!
Anyway mkuu, hili jina kitonsa, kama nalikumbuka Fulani kulikuwa na dereva mmoja wa police mnene sana anaendesha Yale makarandinga (malori) ya wafungwa ya police, Leyland Daf Comet, alikuwa anaitwa "kitonsa" vipi hakuna uhusiano na huyo jamaa?!
R.I.p kwake Waziri Sonyo!
kitonsa alikuwa mhuni maarufu kariakoo ,sina husiano naye ,ila masela walinipa kumwakilisha msela
Hizi nyimbo za zomboko zinanikumbusha sana marehemu mama na baba ,sinanipa hisia sana
Huyu mrembo Miss Zomboko nilikua najiandaa kupeleka posa kwao, kumbe Ni mndengereko. Umenikatisha tamaa. Sina haja ya kulishwa limbwataHawa wandengereko bana wazaramo hatuna majina haya
Kapigika msamehe bureMzee mbona una hasira? Uzushi unakera sana.
Inawezekana alikuwa nayo tayari.Shida ni huko kaambukiza wangapi huko mpirani,@,kwenye daladala.R.IP Waziri Sonyo. Halafu wanene inawaondoa faster.
Safi mnoooooooooRIP Sonyo Waziri
Nakumbuka nyimbo zake akiwa African Revolution (wana Tamtam) akiwa na Badi Bakule, Mviko Sound, Chuchu Sound na TOT. Jamaa alikuwa na sauti nzuri sana. Naweka hapa vibao vyake viwili, akiwa Mviko na akiwa African Revolution ya Asha Baraka
Kiongozi kama una nyimbo ya Beatrice ya Mzee zahir zollo naomba nisaidie plzRIP Sonyo Waziri
Nakumbuka nyimbo zake akiwa African Revolution (wana Tamtam) akiwa na Badi Bakule, Mviko Sound, Chuchu Sound na TOT. Jamaa alikuwa na sauti nzuri sana. Naweka hapa vibao vyake viwili, akiwa Mviko na akiwa African Revolution ya Asha Baraka
Utunzi wa banza stone, ticha wa maticha.Hivi Mtaji wa masikini aliutunga yeye?
Huo wimbo sina, ila kuna thread yenye nyimbo mbali mbali, huo wimbo kuna mtu ali upload. Ingia kwenye search hapo juu, andika jina na mtunzi, utaupata.Kiongozi kama una nyimbo ya Beatrice ya Mzee zahir zollo naomba nisaidie plz