TANZIA Mwanamuziki Waziri Sonyo afariki dunia

TANZIA Mwanamuziki Waziri Sonyo afariki dunia

Ngoja tuwaone wale wanafk
Mtu akfaa utasikiaa kaacha pengo
Kubwaaa,tutamkumbka milele

Ova
 
Daah, kumbe basi sikulijua hili mkuu, kuna dereva bonge nae walikuwa wanamwita kitonsa miaka ya 90.

Kweli hizi nyimbo za zamani zinagusa hisia sana, nimezijaza sana kwenye memory ya simu yangu,

Nakumbuka mzee wangu (rip kwake) alikuwa na radio cassette yake aina ya Phillips 540 enzi hizo, alinunua miaka ya 60's alikuwa anapiga sana kanda za miziki ya zamani, nyingi alizinunua moja ya duka maarufu sana la kanda za muziki pale kurasini likiitwa "Bukavu!"
Radio cassette gani hiyo ya miaka ya 60? Hizo fix kijana.
 
Back
Top Bottom