Mwanamzik Diamond agoma kuzungumzia suala ya Baba yake

Mwanamzik Diamond agoma kuzungumzia suala ya Baba yake

Diamond mwisho wake utawastaajabisha kila mmoja ndani na nje ya ardhi ya Tanzania.Nimekaa naangalia hii movie ambayo starling lazima afe kwa aibu kubwa
IMG_20210119_101618.jpg
 
Mbea
Leo kupitia conference aliyoifanya, Mwanamzik Diamond aligoma kabisa kuzungumzia scandal ya Baba yake na Mama yake kuhusu ubin wake, na kusema kuwa hayo mambo ni ya chumbani hayupo kwenye position ya kuyazungumzia.

Nadhan mtu ambaye yupo kwenye kipindi kigumu kwa Sasa ni Mama Diamond, wakati anaropoka alijua anaifuraisha jamii , lakin ime turn kuwa vice versa . Moyo wake unavuja sana Damu kwa ushetani aliyoufanya.

At first walimhukumu Baba wa watu kuwa hakumhudumia Diamond hivyo sio Baba bora, wote tukaamini, now again story inakuja Kuwa Baba Diamond Alikua tu mlezi ila Baba mzazi wa Diamond hakua yeye, hayo matope wanayokazana kumpaka Baba wa watu, yatawarudia kwa speed ya 4G.

Nashindwa kuandika warumi mie coz moyo wangu unavuja Damu, yani shamte anamuona wa maana sana kuliko mwanaume aliyemsingizia mimba na akailea? , kama anajua anamdhalilisha Baba Diamond , yupo Mungu atakayemtetea na kumheshimisha. Karma never forgets an address
Mbea mkuu wa taifa (MBEMKUTA)
 
Warumi unajua kututeka kweli,sasa wapi kamkana mama yake?? 😊
 
Wee binamu mbona km nilisikia alisema atatoa press maalumu kwa ajiri ya kuzungumzia suala hilo.
Ila leo ilikua kwa ajiri ya Wasafi tour ya Dar.
 
Yule mama kmmke ni Malaya muuza k
Samahani mods naomba msinipe ban kanikera Sana yule Malaya
 
Tuachie ushabiki wa kijinga.. wote tumesikiliza ile press Diamond Nimemsikia Amesema Atafanya Interview maalum kulizungumzia swala hilo.. Amesema press ya leo ni Wasafi tour ya Dar..
Sio wote,mimi sijaisikiliza

Eti babe Don Clericuzio umesikiliza press ya Diamond?ilikuwa lini?
 
Dunia inakwenda kasi kweli

Eti Leo hii Diamond anajaza uwanja bila ya support ya Mwanasiasa ila Mwanasiasa hawezi jaza bila ya sapport yake!

Diamond bila ya DNA test hana ubav wa kubishana na Mama yake
 
Back
Top Bottom