kabisa aiseeh na ikitokea bif au mgongano wa kimsaslahi wanarekebisha na kupiga shoo pamoja mfani davido na wizkid ila mswahili mkikosana au kukosanishwa kidogo ndo uadui na kulogana milele. Ndo mana Fid Q alirap akasema " Hawaamini kwenye kuunda diamond au kiba wawili,wanaamini kwenye kumshusha mmoja ili mmoja awe dili"Alafu mkuu hawa jamaa wana sapotiana sana
Si Wiz,Davido,Burna Boy Patoranking,Tecno. N.k
Nilishuhudia Mwanzo mwisho tamasha la Wizkid kule London. Kwenye StarBoyfest. Aliifunga 02 Arena full. Alafu alichukua Nigeria karibuni yote alikuwa na wasanii kama.kabisa aiseeh na ikitokea bif au mgongano wa kimsaslahi wanarekebisha na kupiga shoo pamoja mfani davido na wizkid ila mswahili mkikosana au kukosanishwa kidogo ndo uadui na kulogana milele. Ndo mana Fid Q alirap akasema " Hawaamini kwenye kuunda diamond au kiba wawili,wanaamini kwenye kumshusha mmoja ili mmoja awe dili"
Bongo ukimkaribisha msanii kwenye tamasha lako anakuambia UNIKOME na kwamba hawezi kuja maana anajenga mafanikio yakeNilishuhudia Mwanzo mwisho tamasha la Wizkid kule London. Kwenye StarBoyfest. Aliifunga 02 Arena full. Alafu alichukua Nigeria karibuni yote alikuwa na wasanii kama.
BurnaBoy,Naira Marley,Tiwa Savage,Runtown,Eugy,Olamide,Terri Nk.
Baadae Davido akampongeza kwa show kali Wiz pia akamwambia hongera kwa kupata mtoto ulikuwa usiku huo huo.
Bongo sasa
Bongo ukimkaribisha msanii kwenye tamasha lako anakuambia UNIKOME na kwamba hawezi kuja maana anajenga mafanikio yake
OhooBongo ukimkaribisha msanii kwenye tamasha lako anakuambia UNIKOME na kwamba hawezi kuja maana anajenga mafanikio yake
Hahahahaha...Hapo nimeyumba mkuuYaan hakuna video yoyote kusindikiza uzi wako!!?
Basi haya picha ya Simi nayo holla,
Mjomba unaniangusha.
naweza kusema mimi ni namba mbili kwakweli.....siwezi kuskiliza nyimbo yake moja najikuta nimemaliza album yani she is the bestNadhani mimi naweza kua shabiki namba moja wa simi hapa bongo.Kuna jambo au msanii ukikutana na mtu wa mbali anamfaham au anaimba nyimb ozake unatabasam na kufurahi mno.
Nilitaka nifungue uzi unaomuelezea simi kinagaubaga na kuwajulisha watu kuhusu huyu mwanamuziki matata mwenye sauti ya dhahabu nikasema nisearch kwanza kama kuna uzi wa simi humu jf mdo nikakutana na huu.
Simi hakuna ngoma yake nisiyoijua iwe yake au aliyoshiriikishwa. nilinza kumwona kwenye ngoma yake na falz ya soldier na hio combo yao ilipelekea wakatoa album ya pamoja inayoitwa chemistry. yaani simi anaimba falz anarap. ni balaa. umo ndani kuna ngoma kama chemistry,shake your body,enough,foreign na nyingine zote kalii.
Ameshirikishwa pia vibao kadhaa na kina patoranking,mr eazi,johnyy drille,mumewe adekunle gold, na wengine wengi. nyimbo zake kali zaidi ni JOROMI,SMILE FOR ME,LOVE DONT CARE,OWANBE na nyimbo yake kali zaidi kuliko zote na ambayo ndiyo nyimbo bora zaidi iliyopita maskioni mwangu mwaka huu ni AYO.
Hii AYO na OJUELEGBA ya wizkid ndo nyimbo zangu mbili bora zaidi za muda wote ambayo sikiziskia mpaka mwili unapata ganzi na vinyweleo vinasisimka. hapa niko naskiliza nyimbo yake mpya inaitwa selense na nasubiri kazi nzuri zaidi kutoka kwa simi. siku simi akija bongo hata kama kiingilio ni laki ngapi ntauza mali zangu zote nikamwone simi nikiwa VIP hata kama sina nauli ya kurudia home.
SIMI will forever be my BEST FEMALE MUSICIAN.
mzeemkavu Mshumaa wa Mbao Ukuta wa wino Starboywiz Architect E.M copernicucci98 Xavi Hernandez Alcantara venance7 MjuviKitambo maji ya gundu pancho boy Kingsmann Ford Range 42774277 Eyce yna2 Unforgetable teledam October man Sizinga roservelt ningendako
najaribu kukuwekea my favourite mkuuYaan hakuna video yoyote kusindikiza uzi wako!!?
Basi haya picha ya Simi nayo holla,
Mjomba unaniangusha.
Asante mkuunajaribu kukuwekea my favourite mkuu
Hatari hyoNasikiliza Ngoma Yake Mpya inaitwa Selense... Ni Moto.
Anaitwa Simisola OgunleyeAnaitwa Simidele, hilo Simi ni kifupi tu
HatarHii nyimbo yake love don't care bonge la nyimbo.
Hiyo aliyoimba na mumewe adekunle gold inaitwa promise me ni motrooooo. sasa apo kwenye doyin ndo kisanga zaidi alaf nyimbo yenyewe haina ata muda saaana ila inakimbiza mno huko youtube.huyo bwanaake mwenyewe ana lijimbo lake linaitwa Before you wake up duh aiseeeh siichoki maskioni mwanguJericho akaua kabisa ....bado alizoimba na bwana ake Adekunle ..
Naipenda sana Doyin na Jericho...
Hiyo promise ni motoooo haswaaa..Hiyo aliyoimba na mumewe adekunle gold inaitwa promise me ni motrooooo. sasa apo kwenye doyin ndo kisanga zaidi alaf nyimbo yenyewe haina ata muda saaana ila inakimbiza mno huko youtube.huyo bwanaake mwenyewe ana lijimbo lake linaitwa Before you wake up duh aiseeeh siichoki maskioni mwangu
Nadhani mimi naweza kua shabiki namba moja wa simi hapa bongo.Kuna jambo au msanii ukikutana na mtu wa mbali anamfaham au anaimba nyimb ozake unatabasam na kufurahi mno.
Nilitaka nifungue uzi unaomuelezea simi kinagaubaga na kuwajulisha watu kuhusu huyu mwanamuziki matata mwenye sauti ya dhahabu nikasema nisearch kwanza kama kuna uzi wa simi humu jf mdo nikakutana na huu.
Simi hakuna ngoma yake nisiyoijua iwe yake au aliyoshiriikishwa. nilinza kumwona kwenye ngoma yake na falz ya soldier na hio combo yao ilipelekea wakatoa album ya pamoja inayoitwa chemistry. yaani simi anaimba falz anarap. ni balaa. umo ndani kuna ngoma kama chemistry,shake your body,enough,foreign na nyingine zote kalii.
Ameshirikishwa pia vibao kadhaa na kina patoranking,mr eazi,johnyy drille,mumewe adekunle gold, na wengine wengi. nyimbo zake kali zaidi ni JOROMI,SMILE FOR ME,LOVE DONT CARE,OWANBE na nyimbo yake kali zaidi kuliko zote na ambayo ndiyo nyimbo bora zaidi iliyopita maskioni mwangu mwaka huu ni AYO.
Hii AYO na OJUELEGBA ya wizkid ndo nyimbo zangu mbili bora zaidi za muda wote ambayo sikiziskia mpaka mwili unapata ganzi na vinyweleo vinasisimka. hapa niko naskiliza nyimbo yake mpya inaitwa selense na nasubiri kazi nzuri zaidi kutoka kwa simi. siku simi akija bongo hata kama kiingilio ni laki ngapi ntauza mali zangu zote nikamwone simi nikiwa VIP hata kama sina nauli ya kurudia home.
SIMI will forever be my BEST FEMALE MUSICIAN.
mzeemkavu Mshumaa wa Mbao Ukuta wa wino Starboywiz Architect E.M copernicucci98 Xavi Hernandez Alcantara venance7 MjuviKitambo maji ya gundu pancho boy Kingsmann Ford Range 42774277 Eyce yna2 Unforgetable teledam October man Sizinga roservelt ningendako