IamMrLiverpool
JF-Expert Member
- Apr 27, 2014
- 4,362
- 6,274
Tayari washamnunua huyu kamati ya usajili ya ccm ipo vizuri aisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soma nilichoandika wewe dudumizi.Cover album ineandikwaje wee bavicha?
Mkuu sijakusudia kutukana na ndio maana nimeandika kihivyo.Hapo nimekosea nini? Roho mbaya hapo ni ipi? Nashukuru kwa Matusi..
Hahahahahah ww mjamaa unatagadhari haswaaJapo anachotamka ni MAGAFULI siyo MAGUFULI.
Msije mkasema nimetoka Bavicha kupinga maendeleo ila sikilizeni.
Wimbo mzuri.
Ukiacha hilo jina na maana yake kwa wa Zambia, ina maana nyingine unayoijua wewe?Hata mimi nahisi hivi, Kama yule balozi wa Zambia hapa nchini aliyekuwa anaitwa " KIKUMA"
Na kuandikwa imeandikwa je?Japo anachotamka ni MAGAFULI siyo MAGUFULI.
Msije mkasema nimetoka Bavicha kupinga maendeleo ila sikilizeni.
Wimbo mzuri.
Soma nilichoandika.Na kuandikwa imeandikwa je?
nakumbuka hata kina fashisti Mobutu Seseseko na nduli Iddi Amini walitungiwa nyimbo za kusifiwa pia.Mwanamuziki Wax Dey ambaye ni African Award Winning Super Star toka Nchini Cameroon ameachia Nyimbo Mpya inayoitwa "MAGUFULI".
katika kibao hicho kipya alichowashirikisha Ma-Superstar wengine kama Mr Leo na Locko Super Star Wax Dey anaonekana Kwenye Video akimbembeleza Msichana Mrembo kwa Lugha ya kifaransa na kiingereza akimuomba binti huyo amkubali ili awe Magufuli wake, yaani awe '' Kidume Wake"...akimaanisha jina Magufuli ni "Mwanaume wa Shoka au Kidume'
Moja ya Mashahiri:
No one will have you eh
Humm, and if they try to take you away from me.. I go be your Magufuli, your magufuli
Eh yo oh ah eh, eh yo oh ah eh
Hmm, magufuli, your magufuli
Eh yo ho, ah eh
Les gens se moquent de nous chérie pourtant c’est vrai
View attachment 1083524