Mwanamziki wa Cameroon aachia nyimbo akiipa Jina la MAGUFULI

Mwanamziki wa Cameroon aachia nyimbo akiipa Jina la MAGUFULI

Ukitaka kujua utamu wa ngoma ingia ucheze, huyo jamaa angetakiwa aje aishi Tanzania mwaka 1 hakika angefuta wimbo wake
 
Hapo nimekosea nini? Roho mbaya hapo ni ipi? Nashukuru kwa Matusi..
Mkuu sijakusudia kutukana na ndio maana nimeandika kihivyo.

Tusameheane tu kama umekwazika.

Ila nimeshituka na jinsi ulivyokataa kukubali jamaa usie mpenda kapaishwa kick kubwaaa huko ng'ambo.
 
Alipata ridhaa na miliki ya hilo jina katika wimbo wake? Ila asijali, mwenye jina si mtambuzi, mwelewa wala mfuata sheria, bali sifa.
 
Hata mimi nahisi hivi, Kama yule balozi wa Zambia hapa nchini aliyekuwa anaitwa " KIKUMA"
Ukiacha hilo jina na maana yake kwa wa Zambia, ina maana nyingine unayoijua wewe?
 
Mwanamuziki Wax Dey ambaye ni African Award Winning Super Star toka Nchini Cameroon ameachia Nyimbo Mpya inayoitwa "MAGUFULI".

katika kibao hicho kipya alichowashirikisha Ma-Superstar wengine kama Mr Leo na Locko Super Star Wax Dey anaonekana Kwenye Video akimbembeleza Msichana Mrembo kwa Lugha ya kifaransa na kiingereza akimuomba binti huyo amkubali ili awe Magufuli wake, yaani awe '' Kidume Wake"...akimaanisha jina Magufuli ni "Mwanaume wa Shoka au Kidume'

Moja ya Mashahiri:

No one will have you eh
Humm, and if they try to take you away from me.. I go be your Magufuli, your magufuli
Eh yo oh ah eh, eh yo oh ah eh
Hmm, magufuli, your magufuli

Eh yo ho, ah eh
Les gens se moquent de nous chérie pourtant c’est vrai

View attachment 1083524
nakumbuka hata kina fashisti Mobutu Seseseko na nduli Iddi Amini walitungiwa nyimbo za kusifiwa pia.

meaning.........

kama shetani asingekuwa na wafuasi Maisha Club, etc kungekuwa ni makanisa na misikiti!!
 
Huyu kaangalia fulsa huenda kagundua jamaa anapenda sifa hivyo ataitwa ikulu na hata kupewa uraia na zawadi lukuki.Hata hivyo Cameroon kuna wanasoka tu huyu musician kadandia
 
Hata mugabe amesikika kidunia lkn chali leo kuna kusikika kwa mazuri hii inachukua miaka mingi mfano mandela na nyerere kufahamika kwa mabaya hii hata siku moja tu dunia nzima inakujua angalia viongozi wote watumiao cheo vibaya
 
Kwahyo jamaa kamuomba demu awe kidume wa ye dume??acheni kufosi jambo msilolijua .....demu akiwa kidume si mkulya huyo!!!!
 
uyu jamaa kweli anamuelewa Anko Magu na Sera zake.....nimeona apo wadada wapo juu ya SGR wamerelax.
 
Hii ni mbinu ya kutaka viewers kutoka Tanzania, ni Diamond alivyowafanyia wa-Namibia na wakampa views za bure kabisa kwa nyimbo ya hovyo
 
Back
Top Bottom