Mwananchi aomba siku ya Ijumaa iwe siku ya Mapumziko

Mwananchi aomba siku ya Ijumaa iwe siku ya Mapumziko

Huyo dingi aache uvivu hiyo kitu hata Mekka sidhani kama ipo
 
Katika Mashindano ya Kuhifadhi Qoran kwa Wasichana yanayofanyika kwenye Uwanja wa Mkapa, Mmoja wa Wananchi alipopata nafasi ya kutoa salamu, Amewaomba wanaohusika kuifanya Ijumaa kuwa Siku ya Mapumziko kama ilivyo Jumapili ambapo amedai badala yake Jumamosi iwe siku ya kazi.

Akitetea hoja yake amesema kwamba, Siku ya Ijumaa Maofisi ya umma yanakuwa hayana wafanyakazi kwa vile wengi wao wanakuwa wakijiandaa na Ibada, jambo linaloleta usumbufu kwa Wananchi, ili kuondoa usumbufu huo ni bora siku hiyo ikawekwa kuwa ya mapumziko na Jumamosi ifidie.


Binafsi Naunga Mkono hoja yaani iwe ijumaa wapo muslims,jumamosi wasabato na Jumapili wakristo. So siku Tatu mapumziko
 
Naunga mkono hoja, hivi aliyefanya jmosi na jpili kuwa siku za mapumziko ni nani?, alikosea sana
 
Mwananchi achanganyikiwa alipomuona kiongozi wa nchi akipanda katika jukwaa kutoa hutba nzito, hivyo mwananchi kushindwa kusikia na kuona maneno mazito ya mheshimiwa rais aitaja neno nchi mara kadhaa kuonesha nchi ni kubwa kuliko imani zetu. Huduma za afya za binadamu alizozibainisha kuhusu hospitali kubwa ya kuhudumia wote, amani, 4R ....


View: https://m.youtube.com/watch?v=xgGDqIRczLo
 
Kama anataka kupumzika ajiajiri au kila ijumaa awe anachukua likizo ,kwa mwaka means 28(likizo kisheria)+24(hizi amlipe mwajiri mshahara wa mwezi).
 
Wakristu hawana upande na dini yoyote. Wao wanamfuata maelekezo ya mafundisho ya vitabu vyao. Hakuna sehemu yoyote kwenye vitabu vya kiislam vimeamrisha kupumzika siku ya ijumaa zaidi ya kushiriki ibada ya al jumaa. Kabla na baada ya hapo unaruhusiwa kuendelea na kazi na hakuna nchi yoyote ya kiarabu inapumzika siku ya ijumaa. Kuendesha Imani kwa mihko kuwa mwezako anafanya nini ni mashindano ya kitoto na ya kiswahili yasiyo na maana. Fuata maelekezo ya kitabu chako unachokiamini
 
Mimi nashauri tuanishe mfumo wa kulipana kwa masaa badala ya mwisho wa wiki, au mwezi kama ilivyo sasa.

Huu mfumo ukianzishwa, hakuna mtu mwenye akili timamu atalilia muda wa mapumziko ili akaswali/akasali. Badala yake watu watakuwa busy kufanya kazi kwa masaa mengi zaidi tu ili mwisho wa mwezi wapate mishahara minono.
 
Katika Mashindano ya Kuhifadhi Qoran kwa Wasichana yanayofanyika kwenye Uwanja wa Mkapa, Mmoja wa Wananchi alipopata nafasi ya kutoa salamu, Amewaomba wanaohusika kuifanya Ijumaa kuwa Siku ya Mapumziko kama ilivyo Jumapili ambapo amedai badala yake Jumamosi iwe siku ya kazi.

Akitetea hoja yake amesema kwamba, Siku ya Ijumaa Maofisi ya umma yanakuwa hayana wafanyakazi kwa vile wengi wao wanakuwa wakijiandaa na Ibada, jambo linaloleta usumbufu kwa Wananchi, ili kuondoa usumbufu huo ni bora siku hiyo ikawekwa kuwa ya mapumziko na Jumamosi ifidie.

Soma Pia: Rais Samia akishiriki tamasha la Mashindano ya Kuhifadhi Quran kwa Wanawake


Binafsi Naunga Mkono hoja yake
Ka nchi maskini, wananchi wana umaskini kichwani, wanataka siku nyingi za kupumzika!
Siku ya mapumziko iwe moja tu, au kwa kila siku unayopumzika, anayepumzika jpili, akatwe pesa,kwenye salary ya siku moja,hivyo hivyo kwa ijumaaa na jmosi
 
Mimi nashauri tuanishe mfumo wa kulipana kwa masaa badala ya mwisho wa wiki, au mwezi kama ilivyo sasa.

Huu mfumo ukianzishwa, hakuna mtu mwenye akili timamu atalilia muda wa mapumziko ili akaswali/akasali. Badala yake watu watakuwa busy kufanya kazi kwa masaa mengi zaidi tu ili mwisho wa mwezi wapate mishahara minono.

Na hapa ndipo nchi zilizoendelea wanatupiga gape. Pay per Working hours ni system nzuri sana ambayo africa hatuifuati.
 
Hapa duniani kuna nchi sita za kiislamu ambazo zinatumia hii kalenda tunayotumia sisi ya kupumzika jumapili.
 
Katika Mashindano ya Kuhifadhi Qoran kwa Wasichana yanayofanyika kwenye Uwanja wa Mkapa, Mmoja wa Wananchi alipopata nafasi ya kutoa salamu, Amewaomba wanaohusika kuifanya Ijumaa kuwa Siku ya Mapumziko kama ilivyo Jumapili ambapo amedai badala yake Jumamosi iwe siku ya kazi.

Akitetea hoja yake amesema kwamba, Siku ya Ijumaa Maofisi ya umma yanakuwa hayana wafanyakazi kwa vile wengi wao wanakuwa wakijiandaa na Ibada, jambo linaloleta usumbufu kwa Wananchi, ili kuondoa usumbufu huo ni bora siku hiyo ikawekwa kuwa ya mapumziko na Jumamosi ifidie.

Soma Pia: Rais Samia akishiriki tamasha la Mashindano ya Kuhifadhi Quran kwa Wanawake


Binafsi Naunga Mkono hoja yake
Kwa nini anatutenga sisi wa jumamosi.
Mapumziko yaanze ijumaa mpaka jumapili
 
Katika Mashindano ya Kuhifadhi Qoran kwa Wasichana yanayofanyika kwenye Uwanja wa Mkapa, Mmoja wa Wananchi alipopata nafasi ya kutoa salamu, Amewaomba wanaohusika kuifanya Ijumaa kuwa Siku ya Mapumziko kama ilivyo Jumapili ambapo amedai badala yake Jumamosi iwe siku ya kazi.

Akitetea hoja yake amesema kwamba, Siku ya Ijumaa Maofisi ya umma yanakuwa hayana wafanyakazi kwa vile wengi wao wanakuwa wakijiandaa na Ibada, jambo linaloleta usumbufu kwa Wananchi, ili kuondoa usumbufu huo ni bora siku hiyo ikawekwa kuwa ya mapumziko na Jumamosi ifidie.

Soma Pia: Rais Samia akishiriki tamasha la Mashindano ya Kuhifadhi Quran kwa Wanawake


Binafsi Naunga Mkono hoja yake

JUMATATU PIA IWE SIKU YA MAPUMZIKO. WATU WENGI WANAKUWA WAMECHOKA NA WEEKEND. MAOFISINI WANAKUWA WAKALI NA VERY BORED.
 
Back
Top Bottom