Nyenyere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 14,804
- 10,715
Nadhani tatizo liko kwenye aina ya habari. Watu hawako tayari Kupoteza pesa zao kwa kusoma habari za kanisa kwenye main stream media. Yaani Msema kweli liandike mapambio kusifu na kiabudu, halafu mwananchi nalo hayo hayo!!?Uongo,marekani na Ulaya kwenye top ya teknolojia ya mawasiliano ya mtandao magazeti bado yanauzwa sana