mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 31,415
- 38,761
umejuaje hawafichi!!!vipi kama wanazidisha idadi???Wao hawafichi kitu.
maana usifikiri kuficha tu,kuna uongo pia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umejuaje hawafichi!!!vipi kama wanazidisha idadi???Wao hawafichi kitu.
Never heard of before! Thanx.yah.
Huyo KGG ndio nani? Babaako? Hao watu 1200 mmewazika majumbani mwenu? Hawana ndugu?Watu wanamchukulia poa KGG kwa kutoa taarifa za watu waliokufa na KORONA ila takwimu alizozitoa jana ni kwamba mpaka sasa watu 1293 wameshakata moto kwa covid19 ,,DSM na Atown zinaongoza na nimeongea na jamaa yangu wa njiro anasema ni hatari kitaani kwao wamepukutika kwa corona.
Kuficha ndio kunazidi kutuangamiza maana watu wanachukulia poa,kinga ya mwili haingalii umri,watu wana magonjwa nyemelezi mengi tu,ukipata kovid na ikakukuta na kinga dhaifu/magonjw nyemelezi % kubwa lazima itambae na wewe!!
siku hizi mtu asife basi hiyo ni corona.Hebu wataalamu wa afya watuambie, mtu kufa kwa ugonjwa wowote sio natural death?
Nafikiri tofauti na natural death, sababu nyingine inaweza ikawa kujiua, kuuwawa, ajali na vifo vingine ambavyo si vya kiasili. Kama kafa kwasababu ya ugonjwa wa korona, hiyo nafikiri ni natural death. Angekuwa kanyongwa, halafu madaktari wakasema ni natural death, tatizo hilo.
Ili kwao iwasaidie nini?umejuaje hawafichi!!!vipi kama wanazidisha idadi???
maana usifikiri kuficha tu,kuna uongo pia.
Tupe mfano wa hizo ishuUsimchukulia poa KGG mkuu anatoa issue ambazo ni ngumu kuzipata!! Na yupo Ahead ya taarifa,issue hata ikitokea saa nane usiku yeye ashaipata na kuipost na wahusika wanakuja kuitoa baada ya siku 1 au mbili kupita.
Siku hizi kuna kushuhudia misiba wakati wanazika usiku.Wewe umeshuhudia misiba migapi mtaani kwako maana usisusubili kwenye daftali, uliyoona kwa macho yako? Na kwanini wawe wao tu na wewe kwa nini hujafa?
Vitu vingine unafikiria tu....mtoa mada ovyo kabisaHuu sasa inaelekea kua upumbafu uliokithiri haiwezekani hata kidogo japo hatukatai data zinafichwa eti wilaya moja iwe na vifo 250 kweli
think loud,kwanini ufikiri hapa unadanganywa,umejiuliza the same kwa tz???Ili kwao iwasaidie nini?
Mwambie aweke matokeo ya kipimo, picha na jina kamili.Kigogo kasema baba yake mdogo Paul makonda kafa kwa korona Leo anaitwa josephat bashite