Mwananchi: Kwenye daftari la mazishi ya vifo vya COVID19 Jina la babangu lilikuwa namba 256 (Amana Hospital-Ilala)

Mwananchi: Kwenye daftari la mazishi ya vifo vya COVID19 Jina la babangu lilikuwa namba 256 (Amana Hospital-Ilala)

Sioni logic ya kuficha namba. Ikiwa namba itakua kubwa na itaonyesha Tz imezidiwa so are other countries hakuna cha kuonea aibu hapa.

USA kapokea msaada toka China over Corona, Switzerland wameanza kugawa chakula so kila mtu kazidiwa its not like Tz kuonyesha imezidiwa itakua jambo la ajabu so what's the logic behind?

Kuna mambo kama haya hua tulizoea kuyasikia Burundi, Urusi, Libya ya Gadafi, China leo hii yapo kwetu na yananishangaza kiukweli. Itakua aibu miaka kadhaa mbele nikiwa JF nikute kijana wa miaka hiyo anauliza ilikuaje Tz ikawa inaficha data na mimi ndiye babu wa kumpa jibu.

This is bullshit.
 
maambukizi mapya au mengi utayajua baada ya taarifa.

kwani unafahamu majibu ya sample moja yanatoka baada ya muda gani???
Kwahiyo unataka kusema mara ya kwanza waziri wa afya aliipotangaza wagonjwa wa covid 19 na mara ya pili tena waziri wa afya ilipotoa taarifa kuhusu wagonjwa wapya wa covid-19 akili yako haikuweza kuona kama idadi ya wagonjwa wapya ilikuwa imeongezeka? Mwanzoni serikali ilikuwa inakaa kwa muda gani kisha wanatoa update? Kwanini saivi wakae zaidi ya wiki mbili pasipo kutoa update za wagonjwa wa covid-19?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
siku hizi mtu asife basi hiyo ni corona.

na mods wako mbioni kuanzisha jukwa la vifo soon.
Hawawezi kuanzisha jukwaa la namna hiyo, hata hivyo ukimya wa serikali uliopo sasa hivi ndio unasababisha yote haya, hiyo taarifa ya aljazeera hakuna atakaeijibu, na kama ujuavyo uongo ukisemwa sana watu huamini kuwa ndio kweli yenyewe.
 
Dunia kwa Sasa haina Siri ,hata kama utakunya saa nane usiku watakujua hii ni aibu Serikali iliyochaguliwa na wananchi ingejiuzulu ni aibu lakini lakini VICHWA VYEKUNDU ndio wanahongwa na kuwaweka watu wanao wahitaji
 
Kwa hiyo wanatuambia idadi ya wanaokufa Tanzania na Covid-19 ni zaidi ya USA na UK proportionately?
 
Kiukweli inasikitisha sana na kinachosikitisha zaidi kuona watu tunatanguliza uchama zaidi kwenye mambo serious kama haya
 
'Natural death' si ni kifo cha ugonjwa wowote?
Kwani kama ni malaria wanaandika malaria?
Hata hivyo vifo vinavyosababishwa na covid19 ni vingi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaan sikujua kama Aljazeera ni vilaza namna hii, lol,

This World is a Crazy place for sure.

Boost your Immune System to fight a Covid-19.
 
Acheni uongo wa kiswahili huo....hata kama vifo vyote hivo haviwezi kujificha kiasi hicho,Watanzania kwa umbea ndo zenu.

Sent using ubishi.com
 
Yani ukiangalia comments za Watanzania huko fb kwenye bbc swahili au kwenye media zingine hata hapa kwneye hii thread.
You will realize that many are stupid.
Yani wanavishambulia vyombo vya habari kuwa vinatumika.
Its nonsense.
Sasa hicho kitabu mazishi ya covid 19 aljazeer watunge kwa faida ya nani hasa.

Kiufupi Tanzania inaficha data and it will cost us all
Itacost nini? Kwan vifo viko Bongo tu hapa shehe? Ugonjwa siyo kwamba uko kwenu tu japo upo.

Sent using ubishi.com
 
Back
Top Bottom