Huyo mwananchi si angdweka cheti cha kifo?watanzania kadha wamehojiwa.
Kipengere hiki ndio kinashtua, kama ilala tuu tarehe 27th kwenye daftari la mazishi ya waliokufa kwa corona ilikua zaidi 256,
Sasa 256 ndio wanatushadadia namna hii? Mbona USA kuna vifo zaidi ya 80,000?
Magu voice
Sasa 256 ndio wanatushadadia namna hii? Mbona USA kuna vifo zaidi ya 80,000?
Magu voice
Hebu siku mojamoja ufikirie kwa kutumia kichwa, wewe kila siku unatumia sehemu ya kukalia kufikiria.
Why?
BIG BIG FACTKama idadi isinge kua kubwa wangetangaza kama.walivyo fanya mwabzo
Pia kama idadi ingekua ndogo, meko angekua amesha rudi ikulu
Sent using Jamii Forums mobile app
Una maana gani?
Kuna vitu vyengine havihiitaji taarifa bali ni uelewa wa mtu.Tumiaga akili basi kujibu, akili yako imejaa utopolo tupu. Nani kakishadadia ? Pamoja na USA kuwa case 60k wewe hiyo inakuhusu ? Watanzania wanahaki ya kupewa taarifa juu ya mwendelezo wa Taarifa za Gonjwa hili.
Majuzi kati nilikuwa nachati na dada yangu mmoja yupo dar, alikuwa akienda kariakoo nikamwambia jitahidi kuwa mwangalifu na uvae barakoa..! Alichonijibu ni kuwa Corona imeisha [emoji15][emoji15][emoji22][emoji22]. Nikamwambia usiseme hivyo, subiri serikali ikisema hakuna corona ndipo useme hivyo, akanielewa akavaa barakoa.
Sasa ishu inakuja, huyu ni mmoja tu ambaye kwa sababu ya ukimya huu anajikuta anaamini kuwa ugonjwa huu haupo. Hebu vyombo husika waache ukimya bali waseme kitu ili tuokoe wenzetu ambao wataangamia kwa sababu ya kutopata taarifa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli ili ni jambo la kushangaza, Kigwangala anasema watafufua biashara ya utalii by June this year. Nchi nyingi zinazotoa watalii bado zipo kwenye lockdown, mbaya zaidi hatuko wazi kwa sababu takwimu zinafichwa! Mtalii gani atakuja kwenye nchi isio eleweka? Mtalii gani yupo tayari kuhatarisha maisha yake? No strategies, no measures. Tutaumia sana kiuchumi.Hasa hasa wanasiasa wa ccm walichofanya walianzisha kikosi kazi cha kukusanya kodi kwenye sekta ya utalii.
Wakakipa bajeti ya mil 65.
Damn.! And the letter is confidential.
Imagine in this emergency situation, President is forcing tourism business man and companies to pay tax.
Tourism is dead.
Then, you can imagine what type of President we have.
Hotels has been closed, restaurants closed. They have been closed kwa sababu hakuna wateja.
Na kigwa naye ni useless ni kama hayupo kabisa
Kweli ili ni jambo la kushangaza, Kigwangala anasema watafufua biashara ya utalii by June this year. Nchi nyingi zinazotoa watalii bado zipo kwenye lockdown, mbaya zaidi hatuko wazi kwa sababu takwimu zinafichwa! Mtalii gani atakuja kwenye nchi isio eleweka? Mtalii gani yupo tayari kuhatarisha maisha yake? No strategies, no measures. Tutaumia sana kiuchumi.
Hawa uliowataja hapa n matapishi na hku waje kuunga hoja wale ndo vibaraka wa lumumba mada km hizi wanapotea
Kufa ni kufa tu aidha kwa ajali, malaria, ukimwi , pressure n.k lakini hii Corona ni aina fulani ya vita pamoja kwamba ni ugonjwa tazama dunia inavyohangaika kisiasa na kiuchumi ni vita na kwenye vita propaganda ndio inatumika. Amini au usiamini hakuna hata nchi moja duniani inayotoa takwimu ya vifo ya ukweli hakuna. Mwacheni kamanda wetu atuongoze kwenye hii vita mpaka sasa tupo vizuri hata Triump analaumiwa kuwafungia raia ndani jee unaonaje sasa anawafungulia.. Huu ugonjwa ni kama ukimwi tuishi nao ukijihadhali utapona usipojali utaendasiwezi jua maana pakikucha na makaburi yanayeyuka.
mnadhani uzikaji wa watu ni kama kuzika paka aliyekufa????
Si ili tumlaumu Magufuli kuwa uzembe wake ndio umesababisha matokeo hayo, angetusikiliza Tanzania isingekuwa na corona.
Sasa 256 ndio wanatushadadia namna hii? Mbona USA kuna vifo zaidi ya 80,000?
Magu voice
Hata huyo mtalii mmoja anata opt kwenda Kenya.
Kwa sababu Tz wil never be recommended due to its secrecy.
Yani mtu aje ili hali anajua kabisa majirani walifunga mipaka yao kwa sababu sisi ni carriers.
Maana yake aje anunue kirusi. Hello No.
labda tutapata watafiti wa Magonjwa na waandishi wa habari za kupeleleza au tutapata wachina.
Yes because Chinese created this shit and they don't scare. Wanaogopa tu Mamlaka
Mbuyu ulianza Kama mchichaSasa 256 ndio wanatushadadia namna hii? Mbona USA kuna vifo zaidi ya 80,000?
Magu voice
Kwa mwka huu toka uanzae sijaona post ya kijinga na kipumbavu kama yako!!!!Huyo ambae kaona jina la babake nae angekufa tu maana hana faida kwa inchi isio hitaji wambea na wafitini.