Mwananchi: Kwenye daftari la mazishi ya vifo vya COVID19 Jina la babangu lilikuwa namba 256 (Amana Hospital-Ilala)

Mwananchi: Kwenye daftari la mazishi ya vifo vya COVID19 Jina la babangu lilikuwa namba 256 (Amana Hospital-Ilala)

jitahidi uninukuu mimi,wacha uoga kujibu maswali.

hiyo nyuki na maji ya moto hujaelewa kama ni mfano??halafu kwa akili hizo unataka uhoji usahihi wa taarifa za wafu 256 wilaya ya ilala!!!

tuna taifa lenye watu wenye uwezo wa kufuga vitambi tu.
Nani 'mkorinto' nimekusoma na kuona kuwa hunitishi kitu.
Haya tuanzie wapi?
 
Watahangaika na Tanzania lkn hatutatikisika hata nukta
Polepole, nchi ilishapuktishwa na Sasa mizizi inabunguliwa na mchwa! Sijui gogo litakalosalia mtalifanyia nini kwani Lina mwanzi ndani!
Ccm mmeshindwa kuongoza nchi irudisheni kwa wananchi!
 
Yani ukiangalia comments za Watanzania huko fb kwenye bbc swahili au kwenye media zingine hata hapa kwneye hii thread.
You will realize that many are stupid.
Yani wanavishambulia vyombo vya habari kuwa vinatumika.
Its nonsense.
Sasa hicho kitabu mazishi ya covid 19 aljazeer watunge kwa faida ya nani hasa.

Kiufupi Tanzania inaficha data and it will cost us all
Watunge kwa faida ya nani? You know nothing about media propaganda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyie roho zenu mbaya sana yote haya ni kwa ajili ya matumbo yenu. Mtakuta wote mnatokea kanda ile ya chattle. Acheni ukweli ujulikane.
Chief nisome tena, hakuna emotion yoyote niliyoonesha kushabikia upande wowote! Usinihusishe na chattle labda iwe ndio kwenu[emoji848][emoji848][emoji848]

[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769]
 
Asante Aljazeera... Vifo Ni zaidi ya 256 vya Corona hapa Tz...

Nasubiri Ummy akanushe hii habari
Hicho kitabu ni cha Amana peke yake au Dar yote? Haiwezekani kiwe kinazungushwa kote, may be cha kanda fulani.
 
aiseee! kinachonishangaza ni kwamba kwani huu ugonjwa umegundulika tanzania? sioni faida za kutosema wagonjwa na waliofariki kwa co-19 kufanya ni siri sana!! ni aibu sana kwa taifa letu tena sana
.... huu ugonjwa ndiyo umetufunulia juu ya rais tuliyenaye.... ni wa ajabu sana tena ni wa ajabu mno!! sadcc hajaudhuria
..EAC nako hajaudhuria..... watz tuna bonge la kituko..
 
Nimesoma hii kitu nikaogopa.. kama.ilala tui 256 , nchi nzima.si itakua balaa. Tujilinde hali si shwari.. jo one cares if you die or you stay alive.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi kinachoniogopesha ni jinsi ambavyo raia huko mitaani hawavai barakoa. Nilifurahi sana RC Makonda aliposema lazima kila mtu avae barakoa Dar, kinachonishangaza ni ukimya na hakuna tena mkazo wa kuvaa barakoa.

Vv

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aljazeera ni chombo cha habari chenye credibility kubwa duniani na sio rahisi kuandika udaku.

Kumbe vifo kulingana na kumbukumbu za hospitali zetu kwa Covid19 namba ni kubwa mno kuliko tunavyo ambiwa.

Kama tu Munispal ya Ilala tarehe 30 April namba ilikuwa inasoma 256 je hadi Leo itakuwaje? Haya hivyo ni Ilala pekee, huko Mloganzila, Temeke, Mwanza,Arusha nk itakuwaje?

Halafu bado wananchi wanaambiwa hali sio mbaya waliofariki ni 16 tu, tunamdanganya nani? Usiri huu unafanya watu wasiogope na kuona ni ugonjwa wa kawaida.
Kwanini serikali inatutenda hivi wananchi? na kama habari sio sahihi kwa nini serikali isiwabane Aljazeera kuusema ukweli?
View attachment 1448120View attachment 1448121View attachment 1448122

Sent using Jamii Forums mobile app
An exaggeration....sensational reporting...
 
Ila jamn tutangaze tu idadi ya wagonjwa wapya na waluokufa km wapo na naamini wapo coz watu washachukulia poa sn mtaan people they don't care n vurugu mechi unaweza hisi hili jambo halipo ndani ya nchi yetu. Raisi anasema tusiwatie hofu watu yupo sahh lkn nachojua mm watu ambao hawajapa maambukizi haya lazma watiwe hofu ila wanaopata maambukizi haya ndio wapewe matumaini ili wasiwe na hofu. Hata ukimwi kila siku tunapeana hofu sn ukipata HIV ni hatari ila mtu akishaupata kiswahili kinabadilika kuwa na HIV sio mwisho wa maisha.. na mbwembwe nyingi tu. Plz wenye mamlaka waambieni watanzania ukweli itawaweka huru
 
Back
Top Bottom