Good Father
JF-Expert Member
- Feb 28, 2014
- 10,321
- 18,574
Mimi kuna rafiki yangu ambae ni muhindi wa hapa dar anasema matanuri ya kuchomea wahindi yako bize usiku na mchanaWatu wanakunywa dawa ya NIMR mkuu so wagonjwa wengi wamepona
Madikteta hufanya chochote ilimradi waendelee kutawala.Aljazeera ni chombo cha habari chenye credibility kubwa duniani na sio rahisi kuandika udaku.
Kumbe vifo kulingana na kumbukumbu za hospitali zetu kwa Covid19 namba ni kubwa mno kuliko tunavyo ambiwa.
Kama tu Munispal ya Ilala tarehe 30 April namba ilikuwa inasoma 256 je hadi Leo itakuwaje? Haya hivyo ni Ilala pekee, huko Mloganzila, Temeke, Mwanza,Arusha nk itakuwaje?
Halafu bado wananchi wanaambiwa hali sio mbaya waliofariki ni 16 tu, tunamdanganya nani? Usiri huu unafanya watu wasiogope na kuona ni ugonjwa wa kawaida.
Kwanini serikali inatutenda hivi wananchi? na kama habari sio sahihi kwa nini serikali isiwabane Aljazeera kuusema ukweli?
View attachment 1448120View attachment 1448121View attachment 1448122
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi kuna rafiki yangu ambae ni muhindi wa hapa dar anasema matanuri ya kuchomea wahindi yako bize usiku na mchana
Kirusi kinakula kimyakimya huko makaburi ya Kisutu yatajaa ndani ya wiki mbili zijazo
Huo upuuzi wa NIMR ni mkorogo wa vitunguu swaumu na malimao ambayo kila watu wametumia sana tu na wakafa vilevile
Mleta mada kilaza tu
Sasa kama wamekufa watu serikali ndo imewauwa?
Huko USA hawafi? au USA serikali haijachukua tahadhari?
Mnapenda kufata propaganda za wazungu ili kila siku muone nyie mnakosea.
Hao wazungu wangekuwa wanatupenda wangetengeneza hayo majanga? Mbona wanaua watafiti wa Corona?
Nendeni mkaolewe kwa wazungu
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wanakunywa dawa ya NIMR mkuu so wagonjwa wengi wamepona
Tatizo sio 256, tatizo ni figure zilizopo kwenye official reports, na jinsi msivyokua na aibu mtakuja kutuambia hao 20 wamefufuka kwa msaada wa Gwaji Boy.
Unajua USA ina watu wangapi jumla? Wewe ukiwa na watoto wawili tu akafa mmoja unakuwa umefiwa zaidi ya mwenye watoto 20 akafiwa watanoSasa 256 ndio wanatushadadia namna hii? Mbona USA kuna vifo zaidi ya 80,000?
Magu voice
Usiku
Kwani likizo ya mzee inaisha lini? Kama korona haipo arudi ofisini.Sasa 256 ndio wanatushadadia namna hii? Mbona USA kuna vifo zaidi ya 80,000?
Magu voice
Kumbe nchi inaweza kwenda bila ya uwepo wa huyu Jiwe. Abaki huko huko asirudi kabisa.
Ofisii ya Raisi Ni popote TanzaniaKwani likizo ya mzee inaisha lini? Kama korona haipo arudi ofisini.
Sasa ufiche ya nini kama limeshakukuta ndio hivyo tena.Sasa kumbe wamehoji wananchi wa mitaanj kama kigogo unategemea nini?
Kama tuputupu anafuraha jina la babake kuwemo na anaona sifa ulitegemea nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe tunaweza kuendelea vizuri kabisa na nchi ikasonga mbele bila kuwepo hyu JIWE. Abaki huko huko maana nimeona kuwa kumbe nchi inaweza kwenda bila hata ya yeye kuwepo. Kwa mfano sasa hivi ana faida gani ya kuwepo?Ofisii ya Raisi Ni popote Tanzania
safi sana .mie napendaga comment zako tu hahahaha watu wanapenda sana kujilalamisha humu kuhusu corona.sasa cjui wanatakaje.jamani corona ni ugonjwa kama magonjwa mengine.
kama kafa na corona shukuru mungu kuna wengine wanakufa kwa ukimwi,ajali,kansa n.k
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani kazi hafanyi? Teuzi unafanya wewe ? Kusimamia serikali unafanya wewe?Kumbe tunaweza kuendelea vizuri kabisa na nchi ikasonga mbele bila kuwepo hyu JIWE. Abaki huko huko maana nimeona kuwa kumbe nchi inaweza kwenda bila hata ya yeye kuwepo. Kwa mfano sasa hivi ana faida gani ya kuwepo?
Ummy mwalimu anajua watu wengi wamekufa na wengi wanaumwa ndiyo maana alikwepa lawama akamwachia waziri mkuu auongopee Ulimwengu peke yake, sasa wamelazimishwa wataje wale wanaopona ili corona ionekane siyo Tatizo kubwa, hawajui kuwa aliyepona anaweza kuumwa tena kwa sababu akitoka Hosptal anaenda kushinda vijiweni vibarazani makanisani misikitini misibani kwenye mikusanyiko misongamano ambayo imeruhusiwa na CCM ili watu waambukizane wafe kwa wingi wapate kisingizio cha kuahirisha uchaguzi mkuu.Duh..........
Na bado hawa akina Kasim Majaliwa na Ummy Mwalimu wanatuambia kuwa waliokufa ni 16 pekee!
Wacha nchi zote za jirani zitufumgie mipaka yao, ili na sisi tuanze kuonja machungu ya kuwa "isolated"
Ndivyo mnavyojifajiri eee. Sasa tulijenga ya nini Ikulu kama hata nyumbani ni ofisi na ni Ikulu? Yeye ni mtumishi wa umma au wa familia? Watumishi wote wa umma hutumia ofisi za umma kuwatumikia wananchi. Basi na sisi tutoke ofisini turudi kwetu tukafanyie kazi za serikali nyumbaniOfisii ya Raisi Ni popote Tanzania