Good Father
JF-Expert Member
- Feb 28, 2014
- 10,321
- 18,574
Mleta mada kilaza tu
Sasa kama wamekufa watu serikali ndo imewauwa?
Huko USA hawafi? au USA serikali haijachukua tahadhari?
Mnapenda kufata propaganda za wazungu ili kila siku muone nyie mnakosea.
Hao wazungu wangekuwa wanatupenda wangetengeneza hayo majanga? Mbona wanaua watafiti wa Corona?
Nendeni mkaolewe kwa wazungu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kama wamekufa watu serikali ndo imewauwa?
Huko USA hawafi? au USA serikali haijachukua tahadhari?
Mnapenda kufata propaganda za wazungu ili kila siku muone nyie mnakosea.
Hao wazungu wangekuwa wanatupenda wangetengeneza hayo majanga? Mbona wanaua watafiti wa Corona?
Nendeni mkaolewe kwa wazungu
Sent using Jamii Forums mobile app